Usikubali kuliwa hivi hivi

Usikubali kuliwa hivi hivi

unavyomtetea atakuwa dadako huyu, na watu wa kwenu ndio mlivyowalea kudhani ME zao ni ATM ahahahahaha, ukiona mtu kaandika hapa kachoka wala hakuna kusema ati elf 5 eti mara 1, ni tabia zenu mbaya za kujiuza mikono salama sio pesa kibao watu wanakufa katikati ya pesa na hao matajiri na mipesa kibao

Utakuta kaombwa 5000.KAAMUA KUANZISHA UZI...MKUU...KUHONGA KUNAKUONGEZEA SIFA ZA KIUME...MWANAMKE anapenda awe sehemu salama,,,sasa kama 5000 mnasumbuana,,,UNAWEZA KUMFANYIA NN KINGINE?Siku zote MWANAMKE akija kwako elewa kuna kitu kimemvuta kwako so special.,,AKISHAKUWA WAKO,,,HAPO NDY ANAANZA KUPENDA KWELI....,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vikwazo gani kama unazidi kutoa hela hata kama ni ndogo

Kweli namtumia but sio kama mwanzo, kumbuka mwanzo alikuwa ananicontrol yani akisema siwezi mgomea kwanza mtoto mzuri sio feki.

Sometimes nipo ofisin anapiga simu video call yupo na kanga moja mtoto Mashalaah na ile hamu hamu ya penzi jipya acha kabisa, kumbe ni tapeli.

Nikaja jiuliza yule anaweza akawa anaingiza pesa nyingi sana kupitia staili yake ile ya maisha.
 
Hahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.

Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.

Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.

Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.
Mkuu hauko makini na pesa zako ..Mimi natoa pesa sehemu husika tuu ,demu atapata huduma yangu nikiwa naye na sio kumpa cash,

From profile picture to proper future
 
Kweli namtumia but sio kama mwanzo, kumbuka mwanzo alikuwa ananicontrol yani akisema siwezi mgomea kwanza mtoto mzuri sio feki.

Sometimes nipo ofisin anapiga simu video call yupo na kanga moja mtoto Mashalaah na ile hamu hamu ya penzi jipya acha kabisa, kumbe ni tapeli.

Nikaja jiuliza yule anaweza akawa anaingiza pesa nyingi sana kupitia staili yake ile ya maisha.
Endelea kuliwa mkuu
 
Mkuu buku mbili kwa sasa sio kitu, elfu kumi ukiichenchi ujue imeisha mtu amezoea kutumiwa hamsini, 30, 20 elfu, ghafra unamtumia buku jero lazima ajitathmini wapi anakosea
wakati huo ujue kuna familia zinaishi chini ya dola moja, why usisaidie wasio jiweza kuliko hawa majangili..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli namtumia but sio kama mwanzo, kumbuka mwanzo alikuwa ananicontrol yani akisema siwezi mgomea kwanza mtoto mzuri sio feki.

Sometimes nipo ofisin anapiga simu video call yupo na kanga moja mtoto Mashalaah na ile hamu hamu ya penzi jipya acha kabisa, kumbe ni tapeli.

Nikaja jiuliza yule anaweza akawa anaingiza pesa nyingi sana kupitia staili yake ile ya maisha.
Mzuri vp wakati bado hamjaonana, kaka umeanza kuyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom