Usikubali kuliwa hivi hivi

Usikubali kuliwa hivi hivi

Kuna siku mtu aliniomba namba nikampa.
Baadae akanitumia SMS.
"Xaxa xixta, mi2 nimekuerewa. Urinipa namba yakk ...." Nikamblock hapo hapo.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Xaxa xixta kwa nn urimbroki wkt kaka wa wa2 arikua amekuerewa kinoma.

Maendeleo hayana chama
 
Mzuri vp wakati bado hamjaonana, kaka umeanza kuyumba

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtoto mkali mkuu, ila matendo yake baadae nikaona nimpotezee ila kiuzuri mi mzuri sasa hivi ni utandawazi huwa tunaongea kupitia video call kitu ni original sio mtu feki kama wanavyodanganyaga wengine.

Tatizo lake ni mpenda,pesa sana
 
Xaxa xixta kwa nn urimbroki wkt kaka wa wa2 arikua amekuerewa kinoma.

Maendeleo hayana chama
sasa ningempeleka wapi mimi.
Huwa nina vigezo ambavyo navizingatia kwa mtu ninapoamua kumkubalia kuwa rafiki au mpenzi.
Na kigezo cha kwanza ni kujua kusoma na kuandika kwa usahihi lugha ya kiswahili.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
sasa ningempeleka wapi mimi.
Huwa nina vigezo ambavyo navizingatia kwa mtu ninapoamua kumkubalia kuwa rafiki au mpenzi.
Na kigezo cha kwanza ni kujua kusoma na kuandika kwa usahihi lugha ya kiswahili.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Xaxa xixta kama mtu kweri amekuerewa xi unakua unamfundixha taratibu mpk na yeye anaerewa kuandika vzr jmn?
Kwa hio hata mimi utanibroki jmn?

Maendeleo hayana chama
 
Xaxa xixta kama mtu kweri amekuerewa xi unakua unamfundixha taratibu mpk na yeye anaerewa kuandika vzr jmn?
Kwa hio hata mimi utanibroki jmn?

Maendeleo hayana chama
Mwanaume akiwa hajui kuandika vizuri hata ladha anakuwa hana. Sipotezi hata muda kumfundisha. We² xikublok .

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Mwanaume akiwa hajui kuandika vizuri hata ladha anakuwa hana. Sipotezi hata muda kumfundisha. We² xikublok .

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.

Ila hawa vijana wa sasa hivi wamenishinda tabia yaani sijui huko shuleni walienda kusomea ujinga.
Yaani kijana aliemaliza kidato cha nne anaweza kukutumia sms ukashindwa hata kuelewa ujumbe na makusudio yake.

Maendeleo hayana chama
 

Ila hawa vijana wa sasa hivi wamenishinda tabia yaani sijui huko shuleni walienda kusomea ujinga.
Yaani kijana aliemaliza kidato cha nne anaweza kukutumia sms ukashindwa hata kuelewa ujumbe na makusudio yake.

Maendeleo hayana chama
Wenyewe wanaita swagger.
Kuna mdogo wangu alinitumia msg ya ajabu / swagger nikamuuliza hauwezi kuandika vizuri? Akaniambia "dyadya inamaana hizi xwaga hazijafika huko?"


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Wenyewe wanaita swagger.
Kuna mdogo wangu alinitumia msg ya ajabu / swagger nikamuuliza hauwezi kuandika vizuri? Akaniambia "dyadya inamaana hizi xwaga hazijafika huko?"


The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.

Huyo angekua ni mdogo wangu basi kijinga cha moto kingekua kinamsubiria.

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom