Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,580
Mbona orgy zipo nyingi dar nashangaa mnaona ni kitu kigeni
Tupe update mkuu.....Nipo eneo la tukio wakuu
Mkuu maeneo niliyotaja hapo juu ni mwendo wa nyumba bar nyumba danguro nyumba muuza ngada yaani unakuta mtaa hauna utulivu 24hrs ni makelele ya walevi na music.Sawa wa kishua, maeneo yenu ya oysterbay,masaki, upanga na mbezi beach ndio salama kwa malezi.
Ni kweli ila kumbuka mazingira na jamii ya watu unayoishi vina mchango mkubwa sana katika malezi ya watoto.Inategemea na mtu
Haya bwanaMkuu maeneo niliyotaja hapo juu ni mwendo wa nyumba bar nyumba danguro nyumba muuza ngada yaani unakuta mtaa hauna utulivu 24hrs ni makelele ya walevi na music.
Pia asilimia kubwa ya jamii ya watu wanaoishi maeneo hayo hawana staha ya kauli wamejawa na kauli za matusi.
Hayo ni maeneo mabaya kuishi kwa mustakbali wa watoto wetu aiseeMkuu maeneo niliyotaja hapo juu ni mwendo wa nyumba bar nyumba danguro nyumba muuza ngada yaani unakuta mtaa hauna utulivu 24hrs ni makelele ya walevi na music.
Pia asilimia kubwa ya jamii ya watu wanaoishi maeneo hayo hawana staha ya kauli wamejawa na kauli za matusi.
Hivi kwa nini wanaita kisamvu cha kopo ?KISAMVU CHA KOPO maana yake ni kwa mparange
Kuna cha kopo na cha nini?Kisamvu cha kopo hiki ninachokijua mm au ni kingine mbona sielewi
Cha kopo kwa mpalange au kuna kingineKuna cha kopo na cha nini?
Kweli wewe ni kunguru wa manzese.Kuna hyo moja mitaa ya tabata mademu walikodi nyumba wapo uchi unaingia kwa kiingilio yeyote utakae muona humo ndani halali yako sijui nani aliwatosa polisi maana walivamia nyumba na kugonga geti kwa nguvu
Ninachokumbuka ni mimi na mzee omari mzee fulani tunamuheshimu sana sijui alitokea wapi tulijikuta akatenguka mguu nilipomsaidia mpka mtaani kwake kufika
Mkewe anauliza kulikoni akawahi Fasta Fasta kujibu nimepigiwa na vibaka huyu kijana kanisaidia
Huyo nikasepa zangu Manzese
Kisamvu ni kinyesi,kopo ni makalioHivi kwa nini wanaita kisamvu cha kopo ?