Pole Kiongozi
Hayo mambo yasome tu hapa JF lakini wakishaingia kwako unaombea iwe heri tu.
Ukienda kituo cha Polisi pale Mbezi kwa Yusuf hizo kesi ni nyingi kupita maelezo
mbezi goba, mpiji majohe, mwabepande, na kibamba wanapora sana vifaa vya gari,
Mie waliruka ukuta wakaingia ndani tukiwa tumelala, nilipigwa tochi chumbani.
Namshukuru mungu nilipata ujasiri wa ajabu nikatoka na kupambana nao, nina tochi spot light za kuwindia nikiiwasha usiku panageuka kuwa mchana (zinauzwa pale tanganyika arms 89,400 nawashauri uinune zina zoom mwanga mkali sana unafika umbalia wa mita 500 unaona very clear). Nilipomulika nayo mmoja akachanganyikiwa nilipoizima hakujua pa kutokea akajitahidi kuruka ukuta huyo ndio alikuwa saizi yangu
Kipigo nilichompatia ndani ya dak 1 nimeshamvunja mguu umetoka kabisa, ndio nikaanza kuita mwiziii, wananchi kuja wakakata masikio yote, nilimuonea huruma nikazuia wasimuue, nikaenda chukua polisi kibamba tukampleka kituoni mbezi polisi,
Akapigwa pingu akapelekwa Tumbi Hospital baada ya wiki 2 nikaenda tumbi huwezi amini walikuwa hawajampatia matibabu yoyote, kijana aliponiona akalia sana anaomba msamaha kwani anakufa akijiona, ndugu na marafiki wamemsusa, tukamuuliza kwanini utoke tabati uje uibe kibamba?? alitupatia taarifa nyingi sana
Nilimuonea huruma nikaamua nimsamehe ila atakuwa mlemavu, kidonda kimeanza kuoza.
Nikamweleza mpelelezi awasiliane na familia yake waje wamchukue sina kesi nae.
wewe lete porojo tu kuna mambo mungu hatasamehe,hao hawapaswi kusamehewa.Pole, ila kama huna mpango wa kuwatafuta kwanin usifungue moyo ukawasamehe na ukaishi maisha ya aman yasiyokuwa na kinyongo. Kumbuka usiposamehe hapa dunian na mbingun husamehewi
Pole Kiongozi
Hayo mambo yasome tu hapa JF lakini wakishaingia kwako unaombea iwe heri tu.
Ukienda kituo cha Polisi pale Mbezi kwa Yusuf hizo kesi ni nyingi kupita maelezo
mbezi goba, mpiji majohe, mwabepande, na kibamba wanapora sana vifaa vya gari,
Mie waliruka ukuta wakaingia ndani tukiwa tumelala, nilipigwa tochi chumbani.
Namshukuru mungu nilipata ujasiri wa ajabu nikatoka na kupambana nao, nina tochi spot light za kuwindia nikiiwasha usiku panageuka kuwa mchana (zinauzwa pale tanganyika arms 89,400 nawashauri uinune zina zoom mwanga mkali sana unafika umbalia wa mita 500 unaona very clear). Nilipomulika nayo mmoja akachanganyikiwa nilipoizima hakujua pa kutokea akajitahidi kuruka ukuta huyo ndio alikuwa saizi yangu
Kipigo nilichompatia ndani ya dak 1 nimeshamvunja mguu umetoka kabisa, ndio nikaanza kuita mwiziii, wananchi kuja wakakata masikio yote, nilimuonea huruma nikazuia wasimuue, nikaenda chukua polisi kibamba tukampleka kituoni mbezi polisi,
Akapigwa pingu akapelekwa Tumbi Hospital baada ya wiki 2 nikaenda tumbi huwezi amini walikuwa hawajampatia matibabu yoyote, kijana aliponiona akalia sana anaomba msamaha kwani anakufa akijiona, ndugu na marafiki wamemsusa, tukamuuliza kwanini utoke tabati uje uibe kibamba?? alitupatia taarifa nyingi sana
Nilimuonea huruma nikaamua nimsamehe ila atakuwa mlemavu, kidonda kimeanza kuoza.
Nikamweleza mpelelezi awasiliane na familia yake waje wamchukue sina kesi nae.
aiseee!!
pole na hongera kwa ubinadamu na ujasiri wako
Olesaimindu!!! SubaiWewe ndio mwenzangu kabisa mtu akiruka fensi akaingia ndani hatakiwi kutoka kama alivyoingia!!!!!!
Kuwasamehe ni kuwaendekeza!
Pole Kiongozi
Hayo mambo yasome tu hapa JF lakini wakishaingia kwako unaombea iwe heri tu.
Ukienda kituo cha Polisi pale Mbezi kwa Yusuf hizo kesi ni nyingi kupita maelezo
mbezi goba, mpiji majohe, mwabepande, na kibamba wanapora sana vifaa vya gari,
Mie waliruka ukuta wakaingia ndani tukiwa tumelala, nilipigwa tochi chumbani.
Namshukuru mungu nilipata ujasiri wa ajabu nikatoka na kupambana nao, nina tochi spot light za kuwindia nikiiwasha usiku panageuka kuwa mchana (zinauzwa pale tanganyika arms 89,400 nawashauri uinune zina zoom mwanga mkali sana unafika umbalia wa mita 500 unaona very clear). Nilipomulika nayo mmoja akachanganyikiwa nilipoizima hakujua pa kutokea akajitahidi kuruka ukuta huyo ndio alikuwa saizi yangu
Kipigo nilichompatia ndani ya dak 1 nimeshamvunja mguu umetoka kabisa, ndio nikaanza kuita mwiziii, wananchi kuja wakakata masikio yote, nilimuonea huruma nikazuia wasimuue, nikaenda chukua polisi kibamba tukampleka kituoni mbezi polisi,
Akapigwa pingu akapelekwa Tumbi Hospital baada ya wiki 2 nikaenda tumbi huwezi amini walikuwa hawajampatia matibabu yoyote, kijana aliponiona akalia sana anaomba msamaha kwani anakufa akijiona, ndugu na marafiki wamemsusa, tukamuuliza kwanini utoke tabati uje uibe kibamba?? alitupatia taarifa nyingi sana
Nilimuonea huruma nikaamua nimsamehe ila atakuwa mlemavu, kidonda kimeanza kuoza.
Nikamweleza mpelelezi awasiliane na familia yake waje wamchukue sina kesi nae.
Msaada: Tanganyika arms iko wapi?
Labda utufafanulie iyo hongera kwa majambaz wakati jamaa kavunjiwa mageti na ashukuru Mungu jamaa hawajawafanyia kitu mbaya zaid ya ya kuibiwa alichochumia juani.
wewe lete porojo tu kuna mambo mungu hatasamehe,hao hawapaswi kusamehewa.
'Tunarudishana Nyuma kwa kuibiana' 20%