Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,260
- 6,693
Huyo ndo yeyeUsijali OK okoka sasa utumikie muda uliobaki
Huyo ndo yeyeUsijali OK okoka sasa utumikie muda uliobaki
Anafurahisha kijiwe huyoUtamuua pressure mkuu maneno makali sana hayo 🤣🤣
Tuishauri wizara ya afya itengenezwe ndomu za Mikono au ukiwa unanunua ndomu kwa kuwa zinauzwa farmacy hakikisha umenunua na gloves kabla kijaingia kwenye tundu kinyaa linalochovywa na wengi ambao asilimia kubwa wagonjwaNimetumia vidole pia
Makonyagi hayo na asubuhu wakiamka unakuta uyo manzi ana vipele mwili na harara mwili mzimaUnajua kabisa una familia halafu unaenda kufanya ujinga kama huo. Kwanini unapenda kuishi kwa wasiwasi
Ikikukaaa vizuri ukishanyoosha cha kwanza kuna confidence flan inakuja unaweza piga nyama kwa nyama.Bia na Konyagi ni Sumu kabisa.
😊😊😊😊
Ukute hata hukuwa na nia ya Kulombana.
R. I. P in advance!Hongereni wanasimba kwa pira zuri hakika mmeonesha mwanzo mzurii.
Aisee jana baada ya mechi kuisha nilikaa nisikilizie Usiku wa Bongo fleva. Nikaagiza kinywaji ili nivutie muda. Nikapiga konyagi ya kati na bia 3. Nilipata vaibu kinoma. Pembeni alikuwepo mdada fulani anacheza si nikajichanganya aisee hawa hawahitaji pesa ili mradi tu bia 1.
Ilipotimu saa7 huyu dada kanambia nisiende nyumbani wife ataleta noma. Basi nikakubali kwenda ghetoni kwake. Nimefika nikavua nguo vizuri cha ajabu uume hausimami. Shika shika awapi, ikabidi tulani kwanza. Ilipotimu saa8 nikamwamsha mara hii mnara ulikuwa imara nikavaa ndomu.
Nikaanza kuhangaika naye. Ghafla nikasikia imepasuka aisee alinikata stimu hapo hapo. Sasa wataalamu nipo hapa kuomba ushauri je, nitakuwa nimeukwaa?
😀😀 unajikuta Socrates mkuuDaaah....R.I.P JF sio kwa akili hizi