Na wewe ni malaya mmojawao.Malaya huwa wanazaliwa nao
Na wewe ni malaya mmojawao.Malaya huwa wanazaliwa nao

Nasikia ukinywa zile unakua unaota ndoto za kufa kufa 😄atumie PEP zile ARV za kujilinda
Mkuu sina amani kabisaUnajua kabisa una familia halafu unaenda kufanya ujinga kama huo. Kwanini unapenda kuishi kwa wasiwasi
Utamuua pressure mkuu maneno makali sana hayo 🤣🤣Ndio tayari
Daaah najuta sana huku wife naye kanichenjia hanielewiUtamuua pressure mkuu maneno makali sana hayo 🤣🤣
Kama hata hukufikia mshindo mkuu uwezekano wa kupata ni 1%-5% kwahyo usiwaze mana hakuna mchubuko wala maji maji (sperms) kwahyo chance ni ndogo kuwa na amani kabsa.Daaah najuta sana huku wife naye kanichenjia hanielewi
Asante kwa ushauri wakoKama hata hukufikia mshindo mkuu uwezekano wa kupata ni 1%-5% kwahyo usiwaze mana hakuna mchubuko wala maji maji (sperms) kwahyo chance ni ndogo kuwa na amani kabsa.
NB: siku nyingine usiwe mzembe mzembe.
Hujaukwaa, Ondoa wasiwasi kabisa.Hongereni wanasimba kwa pira zuri hakika mmeonesha mwanzo mzurii. Aisee jana baada ya mechi kuisha nilikaa nisikilizie Usiku wa Bongo fleva. Nikaagiza kinywaji ili nivutie muda. Nikapiga konyagi ya kati na bia 3. Nilipata vaibu kinoma. Pembeni alikuwepo malaya fulani anacheza si nikajichanganya aisee hawa hawahitaji pesa ili mradi tu bia 1. Ilipotimu saa7 huyu malaya kanambia nisiende nyumbani wife ataleta noma. Basi nikakubali kwenda ghetoni kwake. Nimefika nikavua nguo vizuri cha ajabu uume hausimami. Shika shika awapi, ikabidi tulani kwanza. Ilipotimu saa8 nikamwamsha mara hii mnara ulikuwa imara nikavaa ndomu. Nikaanza kuhangaika naye. Ghafla nikasikia imepasuka aisee alinikata stimu hapo hapo. Sasa wataalamu nipo hapa kuomba ushauri je, nitakuwa nimeukwaa?
Kivipi mkuuHujaukwaa, Ondoa wasiwasi kabisa.
Vema.Kivipi mkuu
Nimetumia vidole piaHuwa vijana mnajidanganya na ndomu. Unavaa ndomu hatua za mwisho wakati kabla ya kuvaa ndani ya dakika 30 ulikuwa unaipapasa na Mikono mitupu na kuingiza vidole eti unamwamdaa? unaandaa Malaya mmekutana siku Moja?
Afuate ushauri huuWanawake wa bar nimepiga sana,, zaidi ya miaka kumi zilikuwa ndio mboga zangu,, na si wote nilitumia mipira wakati mwingine peku tu hasa pombe zikiwa zimekolea kichwani,, lakini Mungu ni mkuu sana mpaka leo niko Negative.. Usihukumu mtu kwa kazi yake anayofanya ni kweli upande ule risk ni kubwa zaidi lakini hata hao watoto wa chuo tunaowaona salama na wao pia wengi wameungua,, mrudie Mungu na uache kunywa pombe kupitiliza bila kampani ya marafiki wenye akili,,