Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 854
- 447
mitongozo ya kizamani
Ndio zilikuwa zetu. ..jamaa yangu aliwahi kujibiwa kama anamuona kwenye glass ya maji ayamwage asinywe
tehtehtehte....Huyo ndiye mshana jr bwana...sasa ilikuwaje aliendelea na kauli za aina hiyo???
ngoja nitamuuliza