CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Hii ndio thread ya mwisho baada ya kuhangaika mchana mzima kwenye thread tofauti, humu ndiyo pakumalizia na kuagana.
Sina jipya wala la ziada, ninavyomaliza andika hi thread mjue kuonana kesho tena.
Komenti yangu ya mwisho itapatikana thread hiiii, kama ifuatavyo.
"usiku mwemeni woteeee"
byeee
see youuu.
Mjifunze kuaga ndipo mlale.
Sina jipya wala la ziada, ninavyomaliza andika hi thread mjue kuonana kesho tena.
Komenti yangu ya mwisho itapatikana thread hiiii, kama ifuatavyo.
"usiku mwemeni woteeee"
byeee
see youuu.
Mjifunze kuaga ndipo mlale.