Usiku huu nimecheka sana sijui uchawi ama??

Usiku huu nimecheka sana sijui uchawi ama??

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,674
Reaction score
37,852
Nikiwa natoka Kimara usiku huu kwenye bus

Kaka mmoja kapendeza mtanashati kansalimia nkamjibu
akaeema naona unarejea nkamjibu ndio

He naomba sh 5000. Nkamwambia na 2000 nikupe hapana naomba alf 5..nkajibu sina

Muda si mrefu akaja konda akaulizia naulii

Nikaona mwamba anatoa 10000 kumpa konda ..nikamwambia amrudishie nitamlipa akagoma kabisa no thx you

Nawaza why amegoma bk 2 yangu
Nawaza kumbe ana kumi ndani
Nawaza why amekataa nauli ku l ipiwa kama mhuhitaji loh...dunia ima mambo
 
Back
Top Bottom