Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kuna watu wanajifanya wanaijua JF kuliko ata wale walioanzisha,mtu ukileta mada yako unakuta wengine wanakuja na vicoment flani hivi wanajiona wao magreat thinker kinoma kumbe ni mapopoma tu,
Utakuta mie Zero IQ nimeweka mada yangu inayohusu mapenzi kwenye jukwaa la Mahusiano alafu kuna mtu anakuja kukomenti pumba kwa sababu tu ya Content ya post husika bila kujua ata post iko jukwaa gani?
Ngoja niwape Somo kidogo inaonekana hao wanaocoment hivyo hawaijui JF ila wanaidandia tu,
Jf ina majukwaa lukuki mfano
1:Jukwaa la mahusiano,
2:jukwaa la dini haya ni private kuingia mpaka upate access maalumu kutoka kwa Mod,paw
3:jukwaa la hoja mchanganyiko
4:Jamii intelligence
5:Jukwaa la siasa
6:Jukwa la jokes na utani
7:Chit chat
Na majukwaa mengine mengi kila jukwaa na content zake
Hivyo basi ukitaka kusoma vile unataka kuvisoma ingia jukwaa ulipendalo kama wewe ni mpenzi wa siasa ingia jukwaa hilo,kama unataka Utani ingia hilo jukwaa utakuta mada zake humo,kama wewe unataka mada za kufikirisha ubongo jukwaa la jamii intelligence lipo ingia humo utapata madini,
Usiandike andike Coment ili wakuone we ni great thinker kumbe ni bonge la Popoma.
Utakuta mie Zero IQ nimeweka mada yangu inayohusu mapenzi kwenye jukwaa la Mahusiano alafu kuna mtu anakuja kukomenti pumba kwa sababu tu ya Content ya post husika bila kujua ata post iko jukwaa gani?
Ngoja niwape Somo kidogo inaonekana hao wanaocoment hivyo hawaijui JF ila wanaidandia tu,
Jf ina majukwaa lukuki mfano
1:Jukwaa la mahusiano,
2:jukwaa la dini haya ni private kuingia mpaka upate access maalumu kutoka kwa Mod,paw
3:jukwaa la hoja mchanganyiko
4:Jamii intelligence
5:Jukwaa la siasa
6:Jukwa la jokes na utani
7:Chit chat
Na majukwaa mengine mengi kila jukwaa na content zake
Hivyo basi ukitaka kusoma vile unataka kuvisoma ingia jukwaa ulipendalo kama wewe ni mpenzi wa siasa ingia jukwaa hilo,kama unataka Utani ingia hilo jukwaa utakuta mada zake humo,kama wewe unataka mada za kufikirisha ubongo jukwaa la jamii intelligence lipo ingia humo utapata madini,
Usiandike andike Coment ili wakuone we ni great thinker kumbe ni bonge la Popoma.