Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,056
- 45,847
Na wewe unatarajia kuwa Baba wa familia?"...... Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa. ...."
Kwan ulikuwa unapata hisia gani ukimwaga ama usipomwaga pumba?
Na wewe unatarajia kuwa Baba wa familia?"...... Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa. ...."
Kwan ulikuwa unapata hisia gani ukimwaga ama usipomwaga pumba?
Mkuuu kumbe ni expert wandoa kabisaSiri kuu katika Ndoa ni Uvumilivu, Kufumba Macho... Hata wazee wetu ni wachache sana ambao wake zao hawakutoka nje
We mngese kweli🤣🤣🤣🤣Hiyo kauli ikitamkwa tu, hata ukaze vipi msuli wa tako lazima wazungu watoke
Unastahili kuambiwa hivyo maana ulikuwa na asili ya kukuUsije ukamwaga mpaka nikuambie 😭
Hii nikauli nliyokua naambiwa namkewangu mwaka 2025 lakini yote kwa yote tuliachana
Kwa Sasa nibora nizae na mtuu kuliko kuoaa 🙏.
Je ulishawahi ambiwa hii kauli