Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 877
- 1,127
- Thread starter
- #41
Mwanzo 20:6Mungu afanyii mtu wepesi, uchaguzi wa mtu ndo matokeo ya maisha ya Mtu, Mungu yupo kutimiza neno lake!
Aliposema mshahara wa Dhambi ni mauti, alimanisha, ukifanya dhambi utakufa, usipofanya utaishi na kufurahia, wepesi jifanyie mwenyewe!
[6]Mungu akamwambia katika ndoto, Nami nimejua ya kwamba kwa ukamilifu wa moyo wako umefanya hivi, ndipo nami nikakuzuia usinitendee dhambi, kwa hiyo sikukuacha umguse.
Umeelewa mtu wa Mungu? Ukifungwa(Ukitiwa uzito) ni rahisi kutenda dhambi, ukitiwa wepesi/majaaliwa/neema/kudra za Mungu zikiwa nawe.. ni rahisi kuiepuka dhambi.