Usije sema sikusema, nasema haya kabla sijafa

Usije sema sikusema, nasema haya kabla sijafa

Dini? Sizungumzii mambo ya dini... Nazungumia jambo la toba.. tubu na uimarishe uhusiano wako binafsi na Mungu wako.

Tubu leo ndugu
 
Ndio, usioe mwanamke mchawi, wala usioe mwanamke asiyemjua wala kumuhofia Mungu.

Ila kumbuka kesho ni majaaliwa ya Muumbaji tu, hivyo tubu kakaangu.
Hujui wale wanaact wanahofu ya Mungu.
Nilipohamia huku kuna mwanadada alinikuwa hayupo alipohamia karibu na chumba changu nikasema asante Mungu nimempata mlokole saivi nimepona .

Nikaendelea kuamini sasa nitaishi kwa amani.
Sasa sikumoja akaja akaniambia naomba tuwe marafiki nikasema sawa .
Muda huo nilikuwa naenda dodoma kufanya jamboo.
Ilikuwa bado ... na kamwezi kakujiandaa .

Huyo dada alikuwa usiku anaomba nasali hadi milima ina gawanyika kila siku naasema ameenda maombi ndio maana hakuwepo usiku.

Siku moja mchana akadai anaenda mjini twende tukaenda mjini.
Basii nilivyofika mahali nikataka nipande toyo akanilipia toyo mpaka sehemu yakupanda kiasi niende mjini.

Kunasiku akasema kila nikirudi kutoka mishemishe zanguu ijioni yupo hapo njee ananisubiria nakuniambia kuhusu majirani eti wachawi na atawapeleka kwa muombeaji wake nikawa na mwamini.

Ila kila nikiwa naendelea kuwa nayeye biashara yangu inapungua watu hawaji tena kununua bidhaa zanguu.
Basi hapa nimjini kuna mtu namuita kaka yangu akaniambia kuwa kunarafiki wa juzi juzi ambaye uko naye nikasema ndio akaniambia woi yeye ndio anakwamisha mamboo.

Nikawa sibishi hakuishia hapo aliharibu hadi mwanaume ambaye alipaswa kunioa. .
Aliniiuguza kishirikina .
Naakafanya sili vizuri na wasaidizi wangu mmoja akampa ajali .
Acha tu hadi mwenye nyumba akashtuka jamani. Sio kawaida yangu kushuka kibiashara hivyoo.

Kwa hiyo duniani hakuna mlokole ni Mungu pekee yake wote ni watenda dhambi na maovu.

Ndio maana kuna imani ya mitume tunatubu kila ijumapili.
Vijitu vinnavyoact ni mbaya sana bora uwe na malaya tu ujue moja .
Chakushangaza analeta wanaume kibaoo kama stendi ya Ubungoo.

Wale wavaa sketi ndefu walokole mmoja alitembea na mume wa rafiki yangu guest alipokutwa akasema ni alionyeshwa huyo kaka ni wake.

Wengine ni wachawi wanafunga watoto vyoo wasinye na wengine wambeya wanavunja ndoa na urafiki za watu halafu wanaolewa wao wanachukua kabisa mume wa mtu wanamganda hadi basi.

Kwa hiyo bora uoe mtu wa kawaida
 
Hujui wale wanaact wanahofu ya Mungu.
Nilipohamia huku kuna mwanadada alinikuwa hayupo alipohamia karibu na chumba changu nikasema asante Mungu nimempata mlokole saivi nimepona .

Nikaendelea kuamini sasa nitaishi kwa amani.
Sasa sikumoja akaja akaniambia naomba tuwe marafiki nikasema sawa .
Muda huo nilikuwa naenda dodoma kufanya jamboo.
Ilikuwa bado ... na kamwezi kakujiandaa .

Huyo dada alikuwa usiku anaomba nasali hadi milima ina gawanyika kila siku naasema ameenda maombi ndio maana hakuwepo usiku.

Siku moja mchana akadai anaenda mjini twende tukaenda mjini.
Basii nilivyofika mahali nikataka nipande toyo akanilipia toyo mpaka sehemu yakupanda kiasi niende mjini.

Kunasiku akasema kila nikirudi kutoka mishemishe zanguu ijioni yupo hapo njee ananisubiria nakuniambia kuhusu majirani eti wachawi na atawapeleka kwa muombeaji wake nikawa na mwamini.

Ila kila nikiwa naendelea kuwa nayeye biashara yangu inapungua watu hawaji tena kununua bidhaa zanguu.
Basi hapa nimjini kuna mtu namuita kaka yangu akaniambia kuwa kunarafiki wa juzi juzi ambaye uko naye nikasema ndio akaniambia woi yeye ndio anakwamisha mamboo.

Nikawa sibishi hakuishia hapo aliharibu hadi mwanaume ambaye alipaswa kunioa. .
Aliniiuguza kishirikina .
Naakafanya sili vizuri na wasaidizi wangu mmoja akampa ajali .
Acha tu hadi mwenye nyumba akashtuka jamani. Sio kawaida yangu kushuka kibiashara hivyoo.

Kwa hiyo duniani hakuna mlokole ni Mungu pekee yake wote ni watenda dhambi na maovu.

Ndio maana kuna imani ya mitume tunatubu kila ijumapili.
Vijitu vinnavyoact ni mbaya sana bora uwe na malaya tu ujue moja .
Chakushangaza analeta wanaume kibaoo kama stendi ya Ubungoo.

Wale wavaa sketi ndefu walokole mmoja alitembea na mume wa rafiki yangu guest alipokutwa akasema ni alionyeshwa huyo kaka ni wake.

Wengine ni wachawi wanafunga watoto vyoo wasinye na wengine wambeya wanavunja ndoa na urafiki za watu halafu wanaolewa wao wanachukua kabisa mume wa mtu wanamganda hadi basi.

Kwa hiyo bora uoe mtu wa kawaida
NIMEKUELEWA vizuri sana, na nimetambua hiyo changamoto uliyoipitia nitakuelezea hapa chini.. ila kwanza NIRUDIE NILICHOSEMA KWENYE POST YA KUMJIBU YULE NDUGU PALE JUU.

Nimesema Asioe mwanamke mchawi na wala asioe mwanamke asiyemjuwa wala kuwa na hofu ya Mungu.. SIJASEMA AOE MLOKOLE.. nieleweke ASIOE MWANAMKE MCHAWI wala ASIYEMJUWA WALA KUMUHOFU MUNGU...

UTAJUAJE KAMA HUYO MTU NI MCHAWI AU HANA HOFU YA MUNGU? - MUOMBE MUNGU AKUONYESHE, MUNGU SI MNAFIKI NA WALA HAPENDI TUANGAMIE.. ATAKUONYESHA, Iwe kwa Ndoto, Kwa Maono, Au Kwa matendo halisi.

Turudi kwenye Jambo lako.

Pole sana, SHETANI HUTUPIGA kiuhalali kwakua huwa tunakaa mbali na uwepo wa neema ya Mungu.

Nikupe mfano rahisi, kondoo ambao wamezoezwa kwenda machungani na mchungaji, siku wale kondoo wakikimbia na kumtoroka mchungaji ghafla wakakamatwa na fisi au dubu, je huoni kama watakua wamekamatwa kiuhalali? Kwani fisi/dubu yule hakuwafuata zizini bali wao walikimbia toka kwa mchungaji..

Siku zote tambua tupo VITANI... Hata hapa mimi hiki ninachokifanya sio kama shetani anapenda hapana, kwakua nawafungua watu yeye atajaribu kila njia kunikwamisha.

Sasa kwa kutambua kuwa tupo vitani, basi wewe lazima ujue Jemedari wako wa vita ni Mungu, Usifanye jambo bila kumshirikisha Mungu... (NDIO MAANA TUNAPASWA KUCHAGUA UPANDE MMOJA... NURU au GIZA).. Ukimshirikisha Mungu yeye atakuambia kila unachopaswa kufanya.

Wengi wameangamia kwasabubu ya KUWAAMINI watu ambao ni wageni kwao... SHETANI ANATAFUTA WAFUASI... katika kutafuta wafuasi kwanza anajibebea wale ambao wapo wapo tu, hawamjui kwa Mungu hawapo kwake hawapo.. Kisha anakuja kwa wale ambao wapo kwa Mungu mguu ndani mguu nje.. anawapenda hawa kwasababu anajuwa WAKIFUMBUKA MACHO ITAKUWA NGUMU KUWARUDISHA GIZANI... mwisho anakuja kwa wale ambao Wanamjua na kumtumikia Mungu, hawa anajua akimbeba mmoja tu basi kabeba makumi nyuma yake..

Wewe lazima ulikuwa kwwnye moja ya hayo makundi... Na kwakua ulikua potential (Una Biashara) basi ibilisi akatuma wakala wake ili akuteke uwe upande wake.. KIVIPI? Ungeanza tu kwenda kwa waganga basi ndo angekuwa kakukamata.. wewe lazima ungeenda kwa waganga ili kulinda biashara na hadhi yako, hapo yeye angekuwa amekutoa kwa Mungu na kukumiliki.. yumkini ungekua unaenda kanisani/msikitini lakini Mungu angekuwa hapendezwi na wewe.

Wengi wameanguka kwenye mtego wa shetani kwa kushindwa kumuomba Mungu awaonyeshe... Wakati uliohamia tu hapo ulitakiwa kumuambia Mungu... HAMIA na mimi katika nyumba hii.. nionyeshe wa kushirikiana nao na niepushe na wakuchukizao... Maombi/Dua/Swala zina uzito ukiambatanisha na kufunga...

Je, kwa sasa si upo sawa au changamoto hazijatulia hadi leo hii?
 
NIMEKUELEWA vizuri sana, na nimetambua hiyo changamoto uliyoipitia nitakuelezea hapa chini.. ila kwanza NIRUDIE NILICHOSEMA KWENYE POST YA KUMJIBU YULE NDUGU PALE JUU.

Nimesema Asioe mwanamke mchawi na wala asioe mwanamke asiyemjuwa wala kuwa na hofu ya Mungu.. SIJASEMA AOE MLOKOLE.. nieleweke ASIOE MWANAMKE MCHAWI wala ASIYEMJUWA WALA KUMUHOFU MUNGU...

UTAJUAJE KAMA HUYO MTU NI MCHAWI AU HANA HOFU YA MUNGU? - MUOMBE MUNGU AKUONYESHE, MUNGU SI MNAFIKI NA WALA HAPENDI TUANGAMIE.. ATAKUONYESHA, Iwe kwa Ndoto, Kwa Maono, Au Kwa matendo halisi.

Turudi kwenye Jambo lako.

Pole sana, SHETANI HUTUPIGA kiuhalali kwakua huwa tunakaa mbali na uwepo wa neema ya Mungu.

Nikupe mfano rahisi, kondoo ambao wamezoezwa kwenda machungani na mchungaji, siku wale kondoo wakikimbia na kumtoroka mchungaji ghafla wakakamatwa na fisi au dubu, je huoni kama watakua wamekamatwa kiuhalali? Kwani fisi/dubu yule hakuwafuata zizini bali wao walikimbia toka kwa mchungaji..

Siku zote tambua tupo VITANI... Hata hapa mimi hiki ninachokifanya sio kama shetani anapenda hapana, kwakua nawafungua watu yeye atajaribu kila njia kunikwamisha.

Sasa kwa kutambua kuwa tupo vitani, basi wewe lazima ujue Jemedari wako wa vita ni Mungu, Usifanye jambo bila kumshirikisha Mungu... (NDIO MAANA TUNAPASWA KUCHAGUA UPANDE MMOJA... NURU au GIZA).. Ukimshirikisha Mungu yeye atakuambia kila unachopaswa kufanya.

Wengi wameangamia kwasabubu ya KUWAAMINI watu ambao ni wageni kwao... SHETANI ANATAFUTA WAFUASI... katika kutafuta wafuasi kwanza anajibebea wale ambao wapo wapo tu, hawamjui kwa Mungu hawapo kwake hawapo.. Kisha anakuja kwa wale ambao wapo kwa Mungu mguu ndani mguu nje.. anawapenda hawa kwasababu anajuwa WAKIFUMBUKA MACHO ITAKUWA NGUMU KUWARUDISHA GIZANI... mwisho anakuja kwa wale ambao Wanamjua na kumtumikia Mungu, hawa anajua akimbeba mmoja tu basi kabeba makumi nyuma yake..

Wewe lazima ulikuwa kwwnye moja ya hayo makundi... Na kwakua ulikua potential (Una Biashara) basi ibilisi akatuma wakala wake ili akuteke uwe upande wake.. KIVIPI? Ungeanza tu kwenda kwa waganga basi ndo angekuwa kakukamata.. wewe lazima ungeenda kwa waganga ili kulinda biashara na hadhi yako, hapo yeye angekuwa amekutoa kwa Mungu na kukumiliki.. yumkini ungekua unaenda kanisani/msikitini lakini Mungu angekuwa hapendezwi na wewe.

Wengi wameanguka kwenye mtego wa shetani kwa kushindwa kumuomba Mungu awaonyeshe... Wakati uliohamia tu hapo ulitakiwa kumuambia Mungu... HAMIA na mimi katika nyumba hii.. nionyeshe wa kushirikiana nao na niepushe na wakuchukizao... Maombi/Dua/Swala zina uzito ukiambatanisha na kufunga...

Je, kwa sasa si upo sawa au changamoto hazijatulia hadi leo hii?
Ni pm nikuulizee jamboo nipo serious
 
Wote ambao hawajaoa na kuolewa ila wanafanya watubu si ndio? Asante kuwakumbusha

Na sie ambao tupo married ila hatuko waaminifu inatuhusu. Lakini pia uzinzi sio dhambi pekee tunafanya, msisitizo ni kutubu na kuziacha njia zisizompendeza Mungu.
 
Maana neema ya Mungu iwaokoao wanadamu wote imefunuliwa; nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa;

Tito 2:11-12
 
Ni kweli lakini kuna zawadi ya ushindi kwa watakaoshinda.
Mi sijatubu bado ila kwanza nimeanza kupunguza (kujitenga ) na kimoja kimoja kinachonifanya ni angukie dhambini, naamin nitaweza japo najua siku nikirudi kwa Mungu lasmi nitapoteza wengi na vingi
 
Amin, Mungu atufanyie wepesi.

Mungu afanyii mtu wepesi, uchaguzi wa mtu ndo matokeo ya maisha ya Mtu, Mungu yupo kutimiza neno lake!

Aliposema mshahara wa Dhambi ni mauti, alimanisha, ukifanya dhambi utakufa, usipofanya utaishi na kufurahia, wepesi jifanyie mwenyewe!
 
Mi sijatubu bado ila kwanza nimeanza kupunguza (kujitenga ) na kimoja kimoja kinachonifanya ni angukie dhambini, naamin nitaweza japo najua siku nikirudi kwa Mungu lasmi nitapoteza wengi na vingi

Kibinadamu itaonekana umepoteza mengi, lakini utakua umefanya maamuzi ya busara sana kuiponya nafsi yako. Kati ya hivyo unavisumbukia na kusema utavipoteza, utaviacha vyote hapahapa duniani. Utaondoka kama ulivyozaliwa, bila kitu.

Hakuna aliyemkamilifu, ile hali ya kunyenyekea na kuonyesha moyo wa kubadilika ndio ya muhimu.
 
Back
Top Bottom