Habari wakuu, huu Uzi ni maalum kwa ndg zangu wote ambayo pengine mnatarajia kukunua gari kwa mtu (yaani gari iliyotumika bongo)
Madalali wamekuwa na tabia ya kuzisifia sana gari ambazo zimekuwa zikimilikiwa na wanawake, utaskia hii ni gari ya mdada iwai chap.
Wengi wanaamini gari ambayo imaendeshwa na mwanamke pengine inaweza kuwa ni nzuri yaani nzima, haijatumika vibaya.
Ukweli ni kwamba wanawake hawajui kutunza magari, wanajua kuendesha kwa tahadhari, lakini hawawezi kuitunza gari, yaani kuzingatia service.
Nimewahi kununua gari kwa mwanamke (nilijuta sana) kwa mwonekano ilikuwa nzuri lakini hakuwa akizingatia service (gari ilikuwa mbovu mbovu tuu).
Nina jamaa yangu ambae wiki iliyopita amenunua gari kwa mwanamke, kwasasa jamaa unaweza kusema ni mgonjwa (gari ipo inampasua kichwa mno )
Kama hutaki stress basi nakushauri ukiskia hii ni gari ya mdada basi nenda na jopo la mafundi kwenye ukaguzi..
NB: Wadada hawajui kutunza magari
Madalali wamekuwa na tabia ya kuzisifia sana gari ambazo zimekuwa zikimilikiwa na wanawake, utaskia hii ni gari ya mdada iwai chap.
Wengi wanaamini gari ambayo imaendeshwa na mwanamke pengine inaweza kuwa ni nzuri yaani nzima, haijatumika vibaya.
Ukweli ni kwamba wanawake hawajui kutunza magari, wanajua kuendesha kwa tahadhari, lakini hawawezi kuitunza gari, yaani kuzingatia service.
Nimewahi kununua gari kwa mwanamke (nilijuta sana) kwa mwonekano ilikuwa nzuri lakini hakuwa akizingatia service (gari ilikuwa mbovu mbovu tuu).
Nina jamaa yangu ambae wiki iliyopita amenunua gari kwa mwanamke, kwasasa jamaa unaweza kusema ni mgonjwa (gari ipo inampasua kichwa mno )
Kama hutaki stress basi nakushauri ukiskia hii ni gari ya mdada basi nenda na jopo la mafundi kwenye ukaguzi..
NB: Wadada hawajui kutunza magari