Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

Usiipite hii post tafadhali...hebu ichungulie

Mkuu heshimu mawazo yako kama unampenda kweli lkn isiwe kwa sababu ya pesa zake kumbuka sinaweza kuisha au kufukuzwa kazi hata kuwa kilema.
 
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.

Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?

kwa maoni yangu,wee bado kinda sana hata kama mapenzi hayana umri. achana naye huyo,tafuta size yako. kumbuka yeye atazeeka mapema wakati wee bado unadai. na pia wanawake hupoteza ladha mapema kuliko mwanaume, mwanaume hadi 75 anaweza kuoa wakati demu wako akifikisha miaka 55 kwisha habari. wee hapo umeingia kuganga njaa tu kwa sababu huna kazi sio mapenzi wala nn!
 
Tafuta feedback kwanza ya nyuma kwann hajaolewan,kulikua na dada mmoja alikuwa akiolewa tu mmewake anakufa hata miaka 2 haiishi,aliolewa na wanaume wa 5 wote walikufa mpaka sasa hataki tena kuolewa,so be care

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wewe ndo umempenda so keep it up, age ni numbers tu wala usiogope coz kuna watu wameolewa wana age ratio nzuri but their marriage imekuwa kama jehanum. Try your lucky,ukishindwa hapo mbeleni utajua la kufanya.All the best
 
Ushauri wangu kwako, kama huyo dada ana mwili mdogomdogo unaweza kumuoa tu lakini kama ana mwili tipwatipwa usithubutu
 
<font color="#333333">Kwa sasa hakuna tatizo ila kwa baadaye tatizo lipo! utaonekana mtoto wake mkubwa, nawe utataka kutoka nje lakini kibali hakitatoka! Kero utaiweza hiyo?<br />
<br />
&quot;Akatanyukwile tikoma&quot;</font>
<br />
<br />
hapo mkuu naunga mkono,kweli kwa saiz hakuna tatizo ila badae litakuwa tatzo kubwa,kwan wanawake wakisha zaa mara kadhaa 2 anaonekana kazeekalkn kama ataweza kuvumilia kuishi na bibi(nyanya) its okay!
 
Ng'ombe hazeeki maini.
muoe tena uringe sana na mkeo.
 
Mdogo wangu mpendwa hongera sana kwa kuumpata mpenzi/mchumba. Kwa jinsi ulivyouliza na kwa kuwa unahitaji ushauri inaonekana humpendi huyo dada hata kidogo bali upo naye kwa sababu tu ya changamoto za maisha ulizonazo baada ya kumaliza chuo bila kupata kazi mpaka sasa.
Ni ukweli usiopingika kuwa mapenzi hayaangalii umri, kipato, kabila wala sura ila sauti ya upendo kutoka moyoni. Wewe ni kijana mdogo na huyo ni dada yako kama si mama mdogo hivyo fikiria zaidi kama kweli unampenda kwa dhati usije ukamuumiza dada wa watu baadaye. Maisha yana changamoto nyingi usiogope kuzikabili changamoto na kutaka kulelewa, jitume, pambana nawe utatoka kimaisha huyo dada amekuzidi mbali hivyo atachoka mapema sana kabla yako mwishowe utaanza kutafuta mabinti wadogo wa saizi yako wakati utakuwa tayari kwenye ndoa na hivyo kumuumiza sana huyo dada, hapo ndipo mtaanza migogoro na kuhisi ndoa chungu.
Nahisi humpendi ndiyo maana unaomba ushauri ungekuwa unampenda usingeomba ushauri kwani ungefanya maamuzi. Umesita kufanya maamuzi binafsi kwa sababu moyo unasita hivyo naomba uusikilize usije ukaingia kwenye matatizo, wengi huwa wanakosea tangu mwanzo kisha wanaanza kulaumu kuwa ndoa imekuwa ndoano kumbe ni kwa sababu yao kutokuwa makini tangu awali kabla ya kuingia.
Kama kweli unampenda kwa thati ya moyo wako oa ila umri ni kikwazo kikubwa sana itafika kipindi unaenda kwenye sherehe na rafiki zako unaanza kukwepa kukaa na mkeo kisa aibu, wenzako wamekaa na vi-baby girl na wewe umekaa na mmama. Kuna baba mmoja alikuwa na mke mzuri sana kwa sura na tabia na ndiye aliyemtoa huyu baba kimaisha lakini mwishowe aliishia kum-cheat na wanawake wengine kisha kuoa mke wa pili huku dini inakataza sababu anasema mwanamke ni mzee, mwanamke amemzidi mwanaume miaka 5 tu itakuwaje wewe miaka 9.
 
kumuoa mara ngapi kama hata kwake unalala? acha kukutega bhana.....hivi ndoa ni nini? Niku-sex au ni cheti cha ndoa? na Kula ubwabwa? Tuanzie hapo
 
Tofauti ya miaka tisa tuu... Cha muhimu jiulize tuu umempendea nini??
Ila kuna wanaume wameumbwa ivyoo kupenda wanawake waliowazidi umri.. Oa tuu.. sema wahi kupata mtoto maana bado una miaaka mi4 to menopause..
 
Kumuoa hakuna tatizo ingawa kwa heshima na maadili yetu ya kiafrika, unatakiwa uwe unakumbuka kumpa "shikamoo" yake kila asubuhi maana ni dada yako mkubwa.
"Age ain't nothing but a number". kijana funga ndoa kama kweli unampenda, ila kama umefuata pesa zake, baada ya ndoa utaanza kutafuta ubavu mwingine,utamuumiza mwenzio bure.
Huyu dada kakupenda kwa dhati, ukimhujumu utamuumiza sana.kama huna uhakika na maamuzi yako bora uachie ngazi mapema.
 
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.<br />
<br />
Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?
<br />
<br />
kama unataka madada duu...muache huyo uone cha moto ya madada duu...
 
muoe tu hakuna tatizo age is just a number unaweza ukampata mwanamke ambaye umemzidi umri na akawa pasua kichwa amekupita umri lakini anaweza akawa mke mwema kwako
 
Tafuta feedback kwanza ya nyuma kwann hajaolewan,kulikua na dada mmoja alikuwa akiolewa tu mmewake anakufa hata miaka 2 haiishi,aliolewa na wanaume wa 5 wote walikufa mpaka sasa hataki tena kuolewa,so be care

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hii habari inafanana na habari niliyoikuta kule machame, Nkwarungo.Jamaa yangu alimpenda binti wa kimachame, akawa wanakutana nae usiku kwenye migomba kwa maongezi.siku moja wakaamua kukutana kimwili huko huko kwenye migomba.katikati ya tendo jamaa akaishiwa nguvu na kupotewa na fahamu.alipozinduka akakuta binti amekaa pembeni yake huku analia.akamuuliza kumetokea nini?binti akampa stori ya maisha yake ya kupoteza wanaume katika ndoa zake za nyuma.Jamaa aliogopa sana na kuamua kuvunja hayo mahusiano.Bahati nzuri yuko hai mpaka leo.
 
Binadamu hana Upendo. Kilichopo ni maigizo ya upendo, kwa kuwa kila aina ya upendo wa kibinadamu una kiini. Kama kiini na sababu ya kuingia katika mawasiliano hayo ni kumiliki gari, na mshahara mkubwa wa hako ka bibi kizee, kumbuka hivyo ni vitu vya kupita. na vikipita sababu ya penzi lenu itakuwa imeisha, na hivyo penzi litakoma. Hata hivyo, leo umezuzuka kwa kukutana na mmiliki wa gari, kesho ukikutana na bibi anayemiliki meli, penzi litahamia kwa mmiliki wa meli. Kwangu mimi naona huna upenzi ila una tamaa ya mali kwa kisingizio cha penzi. Endelea na tamaa zako.
 
hongera kwa kupata jiko!
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.

Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?
 
Wadau mm nina umri wa miaka 26 now, nimemaliza Sheria Chuo Kikuu Mzumbe ila sijabahatika kupata kazi bado. Imetokea nimependana sana na dada mmoja ambaye ni Kaimu Mchumi wa Halmashauri fulani ya Mji, tatizo ni kwamba ana umri wa takribani miaka 35 sasa, na wkt namuapproach moja ya sababu iliyopelekea asite kunikubalia ni age difference ila at last nikafanikiwa kumshawishi...washkaji na kaka zangu wananionea wivu sana wanadai huyu dem ananilea na kuna tetesi kwamba anapata mshahara mkubwa sana coz ameajiriwa zamani na ana masters degree.

Mara nyingi nalala kwake, nimebahatika kumiliki usafiri(gari) mapema so nikiamka nampeleka kazini asubuhi then narudi zangu maskani. Juzi kati nikamuuliza kwa kumtega kwamba nataka anipe mtoto akakubali! Jana nikamwambia nataka nimuoe akakubali! Ana uzuri wa kawaida tu ila ni mstaarabu sana, muwazi, hana mambo mengi na ananiheshimu sana ingawa kanipita umri! Nafikiria kumuoa mara tu nikipata kazi, je kuna tatizo lolote hapo wajameni?

tatizo lipo, ujue wao huwahi kukoma kusikia hamu ya tendo la ndoa, na wakati anafikia umri huo ww utakuwa ndio mbichi kabisa, hapo ndipo tatizo litakapoanzia, je utakuwa tayari kula mzungu wa nne kwa miaka yote iliyobakia bila ya tendo la ndoa, hapo itakulazimu utoke nje ya ndoa nalo litaleta mgogoro mkubwa zaidi

kijana una matatizo ww unazini tu na mtu ambaye hata humjui, je umepima ngoma, halafu unajisifu, ndio maana biblia inasema watu waizinio na wanawake wasio wake zao hawana akili kabisa hawana tofauti na mtu anayechukua mikaa na kuiweka katika kifua chake halafu anadhani hataungua

kumbuka waasherati na wazinzi hawataurithi uzima wa milele warumi 3.23, 5.12, ufunuo 21.8, mithali 28.13
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom