Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
- Thread starter
- #121
Mwili wake mdogo sana wadau, yani tunaendana kbs...tatizo ni umri tu,,,ila potelea mbali, me naoa liwalo na liwe, kwanza nampiga mimba fasta
matipwatipwa wanawahi kuzeeka eeeh...mi nilikwa sijajuaMwili tipwatipwa atamzeekea, bt akiwa na mwili mdogomdogo mbona shwari tu
Duh, hii Kali ya pasaka.😱
Kumuoa hakuna tatizo ingawa kwa heshima na maadili yetu ya kiafrika, unatakiwa uwe unakumbuka kumpa "shikamoo" yake kila asubuhi maana ni dada yako mkubwa.