Usigombee Urais kama.

uporoto01

JF-Expert Member
May 23, 2008
4,700
1,415
Ukitaka kugombea Urais hakikisha jina lako halifanani na jina la jinsia nyingine au yatakutokea ya Dovutwa ambaye wapiga kura wengine walikuwa wanahoji vipi tulisikia kuna Devota anagombea mbona picha yake ya kiume? Makame nae alipokua anatangaza matokeo mara kadhaa akamwita Devota badala ya Dovutwa.
 
Hahaha! kama Masako alivyo kazana kusema Bwana Regia anatoa upinzani mkali kule Kilombero(Regia ni she).
 
Back
Top Bottom