we ni mzembe! Masters ni kwa ajili ya SPECIALIZATION au kumwandaa mtu kwa Managerial Levels! PhD kwa ajili ya ku oversee mambo yote hayo niliyosema kama yanaenda inavotakiwa kwa kucheza na policies! PhD ni level za matumizi ya nchi kwa kurekebisha panapoleta shida kwa kila nyanja!
tatizo Masters zetu ufundishaj wake inakuwa kama undergraduate
Umegonga penyewe! Kiukweli Masters degree labda kwa mtu anayetaka knowledge mpya ili imuongezee ufanisi zaidi kazini mfano umesoma degree ya BBA ile general alafu umefanya kazi accounts muda mrefu ingawa kwenye degree yako hukuzama na unataka position kubwa zaidi, then unaamua kufanya Masters ya Accounting kuepusha mlolongo wa CPA/ACCA professional exams.hizo managerial post utazipata serikalini labda.. kwa magu mpenda vyeti... huku private sector kama voda, puma, airtel, tigo. wanataka output.. yaani mtengeneza pesa.. ndie wanampa ma vyeo.. kina kelvin twissa, hawana hata hizo master zenu.. ceo wa safari com hata degree moja hana..
voda ceo hana masters, airtel ceo hana masters, juzi voda walimpa u bosi mama elishe.. na degree yake ya kupika ugali.. sababu ni anajua kuuza na kuleta pesa...
ukitaka ma vyeo zama hizi jifunze kuuza bidhaa,,, na kuletea kampuni mahela... mambo ya masters ni theory tupu achana nayo
Nakuona Mmanyema wa Kinyamwezi
Hiyo kusoma kwa ajili ya "prestige ya sifa" kama mwenyewe ulivyoandika si ndiyo malengo yenyewe kwa baadhi ya hao wasomi? Kuna ubaya gani kuwa na lengo kama hilo?First degree ni basic and essential kwa ajira.Makampuni mengi ya private hayatofautishi mwenye bachelor na masters.
Na tena ukimkuta mwenye bachelor amekaa muda mrefu anakuzidi cheo na mshahara unayekuja na masters.
Kusoma ni muhimu hata hivyo ukiweza unganisha umalize yaishe.Wakati mwingine kujiendeleza inategemea na speciality au aina ya kazi unayofanya.
Mfano huwezi kuwa academician au researcher au mwalimu wa chuo kikuu na degree moja au masters lazima utapata challenge inabidi utoboe hadi PhD.
Ukiwa daktari wa degree moja fine ukiamua kuwa bingwa ongeza masters.
Sometimes tusome kwa malengo sio tu just prestige ya sifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa umesema kitu cha kwelinkqbisa yaan masters vyuoni inafundishwa kqma undergraduate ila wanakuja kuku kaba ktk researchwe ni mzembe! Masters ni kwa ajili ya SPECIALIZATION au kumwandaa mtu kwa Managerial Levels! PhD kwa ajili ya ku oversee mambo yote hayo niliyosema kama yanaenda inavotakiwa kwa kucheza na policies! PhD ni level za matumizi ya nchi kwa kurekebisha panapoleta shida kwa kila nyanja!
tatizo Masters zetu ufundishaj wake inakuwa kama undergraduate
Mkuu hizo PhD bongo zimesaidia NN ?wengine weupe tuHabari wadau;
Wikiendi iliopita nilikuwa katika mjadala na Rafiki yangu wa siku nyingi ambaye tulipotezana zaidi ya miaka 10 iliopita.Tulikuwa tukijadili safari ya kitaaluma na swala la Masomo.Katika Mjadala tuligusia swala elimu ya Ngazi ya Masters Degree na katika mjadala nilimucha na changamoto moja kwamba,Inapendeza na ni busara zaidi unapoamua kujiunga kwa ajili ya Masomo ya Masters katika Fani yoyote basi lengo lako lisiwe kuishia kwenye Masters bali uwe unalenga kutafuta PHD.
Kwa maana hio nilimwambia ni vizuri eneo utakalochagua kulifanyia utafiti liwe ni eneo ambalo unaweza kuzama zaidi na hata kutoa andika linalofaa kwa ajili ya PHD
Nilimsisitizia kwamba ukweli ni kwamba unaposoma Masters kwa ajili ya kutafuta PHD basi unakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kupata PHD kuliko unaposoma masters kwa sababu unao uwezo wa kulipa ada au kwa sababu unafikiri utapata Mshahara Mkubwa.
Ingawa Mjadala haukufika mwisho ila nimesema niuliete hapa Jamvini kama ni busara kwa mtu kusoma Masters akiwa hana hata wazo wala mpango wa kusoma PHD.Si ni bora akasubiri mpaka ule wakati ambapo atakauwa na maono ya kupata PHD no aingie kilingeni?