Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 87,484 Reaction score 151,633 May 18, 2026 #21 5439 said: Tanzania kweli kuna watu wana imani, sasa sijui imani sijui matatizo au ni ujinga duuuuh ule umati wa kwa mwamposa hatari Click to expand... Ukishaamini Mungu tu, huyu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, wale wa Mwamposa hutakiwi kuwacheka. Maana kimsingi huna tofauti nao.
5439 said: Tanzania kweli kuna watu wana imani, sasa sijui imani sijui matatizo au ni ujinga duuuuh ule umati wa kwa mwamposa hatari Click to expand... Ukishaamini Mungu tu, huyu muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, wale wa Mwamposa hutakiwi kuwacheka. Maana kimsingi huna tofauti nao.