Usifagilie mtu, Mungu ndio kila kitu

Usifagilie mtu, Mungu ndio kila kitu

Nyie vijana wa ovyo sana,
Nmekwambia hapo awali wewe ni muongo.

Thibitisha madai yako kuwa wasioamini Mungu wote wanajihusisha na ushoga,

jitetee kabla sijaweka conclusion hapa kuwa wewe ni muongo totally na habari ya Mungu unayetuambia hapa nayo ni uongo.

Ukishindwa pia ni uthibitisho kuwa Mungu hayupo,
Hadithi zote unazofundishwa kuhusu Mungu huyo ni za uongo.
Kwasababu mafunzo ya uongo hayohayo yanakufanya uje kusema uongo kama ulivyoleta madai yako humu JF.
Nyie vijana wa ovyo sana
 
Nmekwambia hapo awali wewe ni muongo.

Thibitisha madai yako kuwa wasioamini Mungu wote wanajihusisha na ushoga,

jitetee kabla sijaweka conclusion hapa kuwa wewe ni muongo totally na habari ya Mungu unayetuambia hapa nayo ni uongo.

Ukishindwa pia ni uthibitisho kuwa Mungu hayupo,
Hadithi zote unazofundishwa kuhusu Mungu huyo ni za uongo.
Kwasababu mafunzo ya uongo hayohayo yanakufanya uje kusema uongo kama ulivyoleta madai yako humu JF.
Uongo wake unahusiana vipi na uwepo wa Mungu?
 
Kauli zako tu ni uthibitisho kuwa Huyo Mungu hayupo.

humwamini Mungu kabisa na umeleta thread hapa kuect ionekane kama kweli Mungu yupo.

Mkuu, lini Utaacha kuect?
Kuect ni nini?
 
Nikupe salamu za kazi gani kwanza sikujui..

Aisee usije ukamshobokea mtu katika haya maisha:

Hata kama wewe ni masikini, kuwa masikini jeuri.

Sisi sote pua zetu zimeangalia chini, sote tuna share hii pumzi inamaana kwamba sio yetu..

Asikupande raia kichwani ukamtukuza kisa ana chambi(pesa), tambua pesa zake ni za kwake kivyake, wewe tafuta zako ndugu.

Kama haunipi salamu si force,na huwa sinaga tabia za kusalimu watu ovyo ovyo, najikubali sana.

Aisee mimi nakufa na kitu moyoni kimya kimya, sinaga tabia ya kumuambia mtu mambo yangu.

Nilizaliwa kivyangu nitakufa kivya gu, toka nizaliwe sijawahi mpigia mtu magoti ili iwaje sasa..

Sisi sote tunapitia yanini nikusujudie?

Usije mkamfanyie mtu mabaya, kumbuka alls around come around ni kama namba 8 ilivyo.

ONLY GOD CAN JUDGE ME
I BELIEVE ONLY GOD

Mangi shangali, mimi ndo mimi no one like me.
Hivi unahisi mwijaku na baba levo ni wajinga??
 
Naunga mkono hoja kuna watu sasa hivi nawaona kama mawe .Napita tu siongei chochote,wakiniuliza nakaa kimya tu,sijibu.'Nimezaliwa peke yangu na nitakufa peke yangu ,hata siku ya mwisho hukumu ni juu yangu '-Hili goma sijui msanii gani alichonga hii mistari.
Ngoma inaitwa peke yangu- adili
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Kwahiyo unakubali kuwa mwenzako ni muongo?
Umetumia kigezo gani kusema ni mwenzangu?

Naona unamuongelea Mungu mara hayupo mara yupo...

Mungu ni nini? au ni nani? Ukisikia hili neno/jina likitamkwa wewe unaelewa nini?
 
Umetumia kigezo gani kusema ni mwenzangu?
Unaelewa nini nkisema mwenzako?
Unaelewa muktadha nlioutumia hapo au huelewi?

Naona unamuongelea Mungu mara hayupo mara yupo...
Unajua kusoma kwa umakini na uelewa?

Umeona kauli yangu yenye utata kama huo ama umetengeneza wewe huo utata?
Unaweza kuverify hayo madai yako hapo.?
Mungu ni nini? au ni nani? Ukisikia hili neno/jina likitamkwa wewe unaelewa nini?

Mungu ni nini.
Mungu ni dhana iliyojengeka vichwani mwa walio wavivu na wazembe.
Nidhana ambayo ilijengwa ili kujibu maswali magumu ambayo mvivu wa kufikiri anakumbana nayo.

Kwahiyo Mungu ni kichaka cha kujificha/Kisingizio cha watu pindi wakiishiwa maarifa.

Mungu ni nani
Mungu ni mhusika mkuu wa kubuni katika hadithi za kale zilizoandikwa katika zama za giza na ujinga ili kushape jamii zao.
Hadithi kama vile epic of Gilgamesh, atrahasis, biblia (japo biblia imecopy baadhi ya hadithi za Atrahasis na zinginezo) , quran, greek mythology akina Thor, Zeus, Pseudo Athena, Mungu Nuwa (china) Juno Februata (Romania) na nyingine nyingi.

♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️ ♦️

Je Mungu wako ni nani, ama ni nini kutokana na tafsiri zilizoko hapo juu?
 
Unaelewa nini nkisema mwenzako?
Unaelewa muktadha nlioutumia hapo au huelewi?


Unajua kusoma kwa umakini na uelewa?

Umeona kauli yangu yenye utata kama huo ama umetengeneza wewe huo utata?
Unaweza kuverify hayo madai yako hapo.?


Mungu ni nini.
Mungu ni dhana iliyojengeka vichwani mwa walio wavivu na wazembe.
Nidhana ambayo ilijengwa ili kujibu maswali magumu ambayo mvivu wa kufikiri anakumbana nayo.

Kwahiyo Mungu ni kichaka cha kujificha/Kisingizio cha watu pindi wakiishiwa maarifa.

Mungu ni nani
Mungu ni mhusika mkuu wa kubuni katika hadithi za kale zilizoandikwa katika zama za giza na ujinga ili kushape jamii zao.
Hadithi kama vile epic of Gilgamesh, atrahasis, biblia (japo biblia imecopy baadhi ya hadithi za Atrahasis na zinginezo) , quran, greek mythology akina Thor, Zeus, Pseudo Athena, Mungu Nuwa (china) Juno Februata (Romania) na nyingine nyingi.

[emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532] [emoji3532]

Je Mungu wako ni nani, ama ni nini kutokana na tafsiri zilizoko hapo juu?
Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana..

-Mungu ni baba wa viumbe vyote (Yohana 4:24)

Mungu kwangu binafi naweza kumuelezea kwa namna nyingi

Naomba nikuulize swali lingine wewe ni nani??
 
Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana..

-Mungu ni baba wa viumbe vyote (Yohana 4:24)

Mungu kwangu binafi naweza kumuelezea kwa namna nyingi

Naomba nikuulize swali lingine wewe ni nani??
Naona typng error nyingu[emoji174]
 
Mungu ni roho, kwa asili isiyoonekana..

-Mungu ni baba wa viumbe vyote (Yohana 4:24)

Mungu kwangu binafi naweza kumuelezea kwa namna nyingi

Naomba nikuulize swali lingine wewe ni nani??
There are hundreds of stories about god,
Gilgamesh was a part god and a part man
You just quote yohana 4:24 that is circular reasoning fallacy
Hujathibitisha mungu yupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom