Usifagilie mtu, Mungu ndio kila kitu

Usifagilie mtu, Mungu ndio kila kitu

Wapagani on mic test 123
Mpagani anaamini katika Miungu.

Jina Mpagani linawakilisha mtu anaamini Miungu/mungu lakini asiyeamini katika Yesu kristo.
Refer ilikoanzia huko kwa warumi.

Mimi siamini katika Mungu yeyote.

Hivyo mimi si mpagani.

Umenipa jina la uongo.

Hivyo wewe ni Muongo.

Unaweza kuthibitisha Mungu wako huyo yupo?
 
Mpagani anaamini katika Miungu.

Jina Mpagani linawakilisha mtu anaamini Miungu/mungu lakini asiyeamini katika Yesu kristo.
Refer ilikoanzia huko kwa warumi.

Mimi siamini katika Mungu yeyote.

Hivyo mimi si mpagani.

Umenipa jina la uongo.

Hivyo wewe ni Muongo.

Unaweza kuthibitisha Mungu wako huyo yupo?
Atheist
 
Kabla hatujaingia kwa Mungu nataka kufahamu

Wewe ni nani?
Kwa nini swali hili ni muhimu?

Mimi katika muktadha gani? Swali hili linaweza kuwa na majibu elfu moja na bado likawa halijaisha.
 
Watu wote wasiamiNI uwepo wa MUNGU
WANAJIHUSISHA NA USHOGA
Nmekwambia hapo awali wewe ni muongo.

Thibitisha madai yako kuwa wasioamini Mungu wote wanajihusisha na ushoga,

jitetee kabla sijaweka conclusion hapa kuwa wewe ni muongo totally na habari ya Mungu unayetuambia hapa nayo ni uongo.

Ukishindwa pia ni uthibitisho kuwa Mungu hayupo,
Hadithi zote unazofundishwa kuhusu Mungu huyo ni za uongo.
Kwasababu mafunzo ya uongo hayohayo yanakufanya uje kusema uongo kama ulivyoleta madai yako humu JF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom