Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,230
Mungu atusaidie kabla nyakati hazijafikaWanajiona wamefika duniani tunapita
Mungu atusaidie kabla nyakati hazijafikaWanajiona wamefika duniani tunapita
Logical non sequitur.Off point.Wanajiona wamefika duniani tunapita
Kujifanya unamjua Mungu ambaye hata huwezi kumthibitisha ndiyo dharau yenyewe.Maskini,siku hiyo mtashindwa hata kumtamka Kwa dharau mnazozionyesha duniani🙏
AminaKujifanya unamjua Mungu ambaye hata huwezi kumthibitisha ndiyo dharau yenyewe.
You have it backwards.
Thibitisha Mungu yupo.
Hayo mawazo ya kimungu mungu ndiyo mwanzo wa uzembe na kutofikiri vitu kwa uhakika.Nikupe salamu za kazi gani kwanza sikujui..
Aisee usije ukamshobokea mtu katika haya maisha:
Hata kama wewe ni masikini,kuwa masikini jeuri.
Sisi sote pua zetu zimeangalia chini,sote tuna share hii pumzi inamaana kwamba sio yetu..
Asikupande raia kichwani ukamtukuza kisa ana chambi(pesa),tambua pesa zake ni za kwake kivyake,wewe tafuta zako ndugu.
Kama haunipi salamu si force,na huwa sinaga tabia za kusalimu watu ovyo ovyo,najikubali sana.
Aisee mimi nakufa na kitu moyoni kimya kimya,sinaga tabia ya kumuambia mtu mambo yangu.
Nilizaliwa kivyangu nitakufa kivya gu,toka nizaliwe sijawahi mpigia mtu magoti ili iwaje sasa..
Sisi sote tunapitia yanini nikusujudie??
Usije mkamfanyie mtu mabaya,kumbuka alls around come around,ni kama namba 8 ilivyo..
ONLY GOD CAN JUDGE ME
I BELIEVE ONLY GOD
mangi shangali..mimi ndo mimi no one like me..
Watu wote waliyo mkashifu mwenyenzi MUNGU hakuna hata mmoja aliye ishi,Logical non sequitur.Off point.
Thibitisha Mungu yupo.
Vijana wa ovyo sanaHayo mawazo ya kimungu mungu ndiyo mwanzo wa uzembe na kutofikiri vitu kwa uhakika.
Mungu ni adui nambari moja wa wanadamu.
Mpaka sasa nimewambia wathibitishe Mungu yupo, hakuna aliyeweza.Hayo mawazo ya kimungu mungu ndiyo mwanzo wa uzembe na kutofikiri vitu kwa uhakika.
Mungu ni adui nambari moja wa wanadamu.
Watu wote wamekuwa wanaishia kufa tu, wakimkashifu au wasipomkashifu Mungu, kwa hivyo hapa huna point.Watu wote waliyo mkashifu mwenyenzi MUNGU hakuna hata mmoja aliye ishi,
Kuna watu walishafukiwa na vifusi wakakaa kwa siku kadhaa chini hakuna aliyejua watapona ila MUNGU akawaponya,endelea na madharau yako
Vijana wa ovyo sana hawaMpaka sasa nimewambia wathibitishe Mungu yupo, hakuna aliyeweza.
Inawezekana nkawa wa ovyo kimtazamo wako,Vijana wa ovyo sana
DuniaHunitoi kwenye reli.
Bado hujathibitisha Mungu yupo.
Hata hapa bado hujathibitisha Mungu yupo.Dunia
Pumzi
Maji
Tumependelewa sana
Hawawezi hawa.Mpaka sasa nimewambia wathibitishe Mungu yupo, hakuna aliyeweza.
Wapagani on mic test 123Hawawezi hawa.
Na sababu kwanini hawawezi ni mbili tu...
1. Sababu ya kwanza ni kwasababu Mungu hayupo.
2. Sababu ya pili ni kwasababu Mungu hawezekani kuwepo.
Sababu ya tatu ni kwamba ni wajinga sana hawajui sababu ya kwanza na ya pili.Hawawezi hawa.
Na sababu kwanini hawawezi ni mbili tu...
1. Sababu ya kwanza ni kwasababu Mungu hayupo.
2. Sababu ya pili ni kwasababu Mungu hawezekani kuwepo.
Wapagani campSababu ya tatu ni kwamba ni wajinga sana hawajui sababu ya kwanza na ya pili.
Kwa maana hiyo ambao hawajamkashifu wameishi?Watu wote waliyo mkashifu mwenyenzi MUNGU hakuna hata mmoja aliye ishi,
Kuna watu walishafukiwa na vifusi wakakaa kwa siku kadhaa chini hakuna aliyejua watapona ila MUNGU akawaponya,endelea na madharau yako
Wewe hujui hata mpagani ni nani, jielimishe kwanza.Wapagani camp