Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 528
- 822
Nikupe salamu za kazi gani kwanza sikujui..
Aisee usije ukamshobokea mtu katika haya maisha:
Hata kama wewe ni masikini, kuwa masikini jeuri.
Sisi sote pua zetu zimeangalia chini, sote tuna share hii pumzi inamaana kwamba sio yetu..
Asikupande raia kichwani ukamtukuza kisa ana chambi(pesa), tambua pesa zake ni za kwake kivyake, wewe tafuta zako ndugu.
Kama haunipi salamu si force,na huwa sinaga tabia za kusalimu watu ovyo ovyo, najikubali sana.
Aisee mimi nakufa na kitu moyoni kimya kimya, sinaga tabia ya kumuambia mtu mambo yangu.
Nilizaliwa kivyangu nitakufa kivya gu, toka nizaliwe sijawahi mpigia mtu magoti ili iwaje sasa..
Sisi sote tunapitia yanini nikusujudie?
Usije mkamfanyie mtu mabaya, kumbuka alls around come around ni kama namba 8 ilivyo.
ONLY GOD CAN JUDGE ME
I BELIEVE ONLY GOD
Mangi shangali, mimi ndo mimi no one like me.
Aisee usije ukamshobokea mtu katika haya maisha:
Hata kama wewe ni masikini, kuwa masikini jeuri.
Sisi sote pua zetu zimeangalia chini, sote tuna share hii pumzi inamaana kwamba sio yetu..
Asikupande raia kichwani ukamtukuza kisa ana chambi(pesa), tambua pesa zake ni za kwake kivyake, wewe tafuta zako ndugu.
Kama haunipi salamu si force,na huwa sinaga tabia za kusalimu watu ovyo ovyo, najikubali sana.
Aisee mimi nakufa na kitu moyoni kimya kimya, sinaga tabia ya kumuambia mtu mambo yangu.
Nilizaliwa kivyangu nitakufa kivya gu, toka nizaliwe sijawahi mpigia mtu magoti ili iwaje sasa..
Sisi sote tunapitia yanini nikusujudie?
Usije mkamfanyie mtu mabaya, kumbuka alls around come around ni kama namba 8 ilivyo.
ONLY GOD CAN JUDGE ME
I BELIEVE ONLY GOD
Mangi shangali, mimi ndo mimi no one like me.