Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Bi Khadija
Bi Khadija
Mkuu kiroho safi nakushauri tutafute wakubwa zako na tatizo lako litakwisha. Come learn bro how we do itHa ha ha ha ..... 😁😁😁😁😁😁😁😁
Hahahaha hajaionesha pesa ndio tatizo.
Nani kasema pesa ni kila kitu??? Kalala na ngunga zake sasa juu ya kuwa na pesa zake
Kiduku ushajiandikisha kwenye daftari la wapiga kura mpwa?
Nimeshamshauri mimi abadili strategy.Stori zako ungekua unazuga upo mamtoni, mademu wangekuamini unahela, kwa vile ushajionyesha upo bongo afu stori zako ni za magari ambayo hayapo au ni moja jiji zima, wademu humu washajua ni story za kutunga tu,.
Badili strategy, uwe unaambatanisha na picha zenye madhari ya bongo, au pia ATM slip yenye kuonyesha "available Balance".
Sipo nchin mpaka mwakanBulubendi wewe umejiandikisha?
Swalehe yuko wapi nikamchukue tukajiandikishe?Sipo nchin mpaka mwakan
Teh....Swalehe yuko wapi nikamchukue tukajiandikishe?
Sawa nitakutafuta nikirudi tzNtapenda siku moja nionane nawe nikiwa napata lunch pale serena hotel. Wewe ni mmoja ya watu ambao nawaona very matured humu JF.
Boss Kiduku Lilo again.
mimi nakukubali sana. Enzi za Kikwete mlikuwa wengi wenye maisha hayo
lilo ndio kashamaliza hivyo
sema huyu mwamba ana maisha magumu sana