Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,416
- 5,007
Katika amri zote hizo nimenasa kwenye amri ya 9. Nimepita nao sana mpaka wake zao. Daah...! Ila mimi mwenyewe sipendi itokee hii kitu
Au sio unataka kutembelea nyota zaoMkuu, namba 3 na 7 itakuwa ngumu kuacha.
Mbona ss wote wameisha? Labda tu sema tupige puli!1 Usidate na mfanyakazi mwenzako
2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri
3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela
4 Usidate na mteja wako
5Usidate na mwanafunzi
6 Usidate na single mothers
7 Usidate na Mwanamke maarufu
8 Usidate na Mwanamke aliyelala na Wana wengi
9 Usidate na Ex wa rafiki Yako
10 Usidate na wanawake wanaojipost hivyo
11 Usidate na jini mahaba
Sitisha kudate na kumuacha pale pale mwanamke ambaye muwapo kitandani unamlala huku akichatishwa na mwanamme mwingine.1 Usidate na mfanyakazi mwenzako
2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri
3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela
4 Usidate na mteja wako
5Usidate na mwanafunzi
6 Usidate na single mothers
7 Usidate na Mwanamke maarufu
8 Usidate na Mwanamke aliyelala na Wana wengi
9 Usidate na Ex wa rafiki Yako
10 Usidate na wanawake wanaojipost hivyo
11 Usidate na jini mahaba
Hapana bro! Mpangaji mwenzako tena? Labda mke au mme wa mtu hapo sawa. Lakini umerudi home umechoka,af kidada jirani kinakwambia leo kimeandaa cha kutosha wawili usipike,kinakwambia kimekuandalia na maji moto utaoga kwake,tobaaa. Mwanaume tayari unaolewa. Sema tu kesho yake utaambiwa mnakula samaki toka Mwanza na wewe ndo unatakiwa utoe hela,masikini ya Mungu umebaki na elfu 1 ya dagaaList ilitakiwa ianze hivi:
😅😅😅😅🖖🏾Hapana bro! Mpangaji mwenzako tena? Labda mke au mme wa mtu hapo sawa. Lakini umerudi home umechoka,af kidada jirani kinakwambia leo kimeandaa cha kutosha wawili usipike,kinakwambia kimekuandalia na maji moto utaoga kwake,tobaaa. Mwanaume tayari unaolewa. Sema tu kesho yake utaambiwa mnakula samaki toka Mwanza na wewe ndo unatakiwa utoe hela,masikini ya Mungu umebaki na elfu 1 ya dagaa
Usidate na mwanasiasa1 Usidate na mfanyakazi mwenzako
2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri
3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela
4 Usidate na mteja wako
5Usidate na mwanafunzi
6 Usidate na single mothers
7 Usidate na Mwanamke maarufu
8 Usidate na Mwanamke aliyelala na Wana wengi
9 Usidate na Ex wa rafiki Yako
10 Usidate na wanawake wanaojipost hivyo
11 Usidate na jini mahaba
Nyetohjini mahaba ndo lipi hiloo mkuu?
single maza hawana shida ukishaona kaburi la mzazi mwenzake.
And yet hamuishi kuwaongelea. Ajabu sana🤔Wanawake wengi hawana akili kwahiyo hata akili inayotumika ni ndogo sana
Mimi nadate na mfanyakazi mwenzangu aisee mwanzo nilichukulia poa ila kwa sasa naona kama nimefungwa.1 Usidate na mfanyakazi mwenzako
2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri
3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela
4 Usidate na mteja wako
5Usidate na mwanafunzi
6 Usidate na single mothers
7 Usidate na Mwanamke maarufu
8 Usidate na Mwanamke aliyelala na Wana wengi
9 Usidate na Ex wa rafiki Yako
10 Usidate na wanawake wanaojipost hivyo
11 Usidate na jini mahaba






Unaweza ona kaburi la mwanaume, kumbe alisingiziwa Mtoto.jini mahaba ndo lipi hiloo mkuu?
single maza hawana shida ukishaona kaburi la mzazi mwenzake.