Usidate na Hawa

Usidate na Hawa

Mmewasema vya kutosha, na sasa tena hamtaki tu-date nao. Sasa nani atawala?

Waacheni single mothers wooote waje kwangu. Nawapenda na kuwahusudu. 💕

Blenda Got A Baby.

-Kaveli-
NAKAZIA! 😂👍🏾🙌🏾
 
Kuna single mother mmoja anataka nimuoe na mimi nimemkubalia baada ya kuifinyia kwa ndani ila akili zimenirudia sana nipeni mbinu za kupindua meza maana nilishaahidi hadi siku ya kutoa mahari kumbe zilikuwa ni genye tu,sasa hivi najutia
M-ghost tu, hama unapoishi haraka... madalali wako active kama umeme

Badili namba ya simu, wapange watu wako anaofahamiana nao. Utakuwa umeshashinda 👍🏾
 
Usidate na mwanamke muongo muongo muongo ye kila kitu ni uongo alafu anakua na sura ya upole ujue ni shetan
Ilinikutaga miaka kenda! Anaapia viapo vyote kumbe ni chai, nilimvulia kofia alikuwaga ananidanganya mwezi mtukufu na anaapa na viapo baadae nikagunduaga alikuwa muongo. Dahh! Nilichoka 🙌🏾
 
Ulichukua maamuzi gan mkuu
Nikajifanya gentleman kumsamehe, hapo alishaanza mapepe na nikamshtukia na nikamsamehe.

Alikuja kunipigia tukio akawa analiwa na Houseboy! Ahh! Ilinichanganya sana!

Tangu hapo siaminigi wanawake
 
Nasoma huu uzi na jamaa yangu ,karopoka usidate na dada wa kichaga. Sijataka kumuuliza kwann
 
Nikajifanya gentleman kumsamehe, hapo alishaanza mapepe na nikamshtukia na nikamsamehe.

Alikuja kunipigia tukio akawa analiwa na Houseboy! Ahh! Ilinichanganya sana!

Tangu hapo siaminigi wanawake
Ulimpiga chini au bado ukonae?
 
We sema tu USIWE KWENYE MAHUSIANO bas hamna kingne boss maana ukiwakwepa hao wote ni tayar hutawah kudate
 
1 Usidate na mfanyakazi mwenzako

2 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi umri

3 Usidate na Mwanamke aliyekuzidi nguvu na hela

4 Usidate na mteja wako

5 Usidate na mwanafunzi

6 Usidate na single mothers

7 Usidate na Mwanamke maarufu

8 Usidate na Mwanamke aliyelala na Wana wengi

9 Usidate na Ex wa rafiki Yako

10 Usidate na wanawake wanaojipost hovyo

11 Usidate na jini mahaba
Badili kichwa cha habari mkuu kisome "Usipende ku date na wafuatao"
Umenitiaha ulipomtaja HAWA nikashituka kwanini hutaki ni date na Hawa wangu? Kafanyaje tena?


Hiyo namba 2 haimuhusu Carasco Putin mzee wa mashangazi🤣
 
Back
Top Bottom