Usidanganywe ewe Muislamu

Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Ni mjinga na mpumbavu anaezani mpak Leo vita ya Mashariki ya Kati ni ya kidini pole yenu watumwa wa dini na hongera sana mtoa Mada kwa Kuja na fact sio mihemko na hisia
 
Mkuu kwani sheikh muhsin sio binadam??
Hapa ndo nimeanza kuamini uongo ukirudiwa rudiwa masikioni mara nyingi,unakuwa ukweli.
Keep in mind hapa bongo na east africa asilimia 99 ya waislam ni sunni...kwahyo hata hiyo translation itakaa kisunni sunni
Mara chache sana utakuta watu wanakuwa wakweli,mara nyingi huwa wanapindisha maandiko yaendane na imani zao...
Ndomaana mimi nikakurudisha kwenye original Qur'anic arabic.
Kwa sababu original arabic hatuijui mimi na wewe. Tungejua tungeanza kudadavua neno zulafa. Vinginevyo tuende kwa mujibu wa lugha tuijuayo. NB. Suala la madhehebu katika dini tuyaache. Huenda hayatatusaidia. Ikitokea wewe ni Mwislamu nenda na maelekezo ya dini/madhehebu yako. Vyovyote iwavyo, tunapaswa kufuata mafunzo ya quran na mwenendo wa Mtume. Ni hapo tu tutaslimika, vinginevyo nikuangamia.
 
Maelekezo ya quran sasa yanasema tuswali mara tatu.
Wewe unafata maelekezo ya dhehebu lako
Kwa sababu original arabic hatuijui mimi na wewe. Tungejua tungeanza kudadavua neno zulafa. Vinginevyo tuende kwa mujibu wa lugha tuijuayo. NB. Suala la madhehebu katika dini tuyaache. Huenda hayatatusaidia. Ikitokea wewe ni Mwislamu nenda na maelekezo ya dini/madhehebu yako. Vyovyote iwavyo, tunapaswa kufuata mafunzo ya quran na mwenendo wa Mtume. Ni hapo tu tutaslimika, vinginevyo nikuangamia.
 
Umeona ee. Jamaa anataka kutulisha matango pori wakati ukweli tunaujua. Vita ya Palestina na Israelni vita ambayo iliishatabiliwa.
Umepiga porojo ndefu lakini umesahau kuwa Muislam ndugu yake ni Muislam.

Waislam ni kama kiwiliwili kimoja, ukikiumiza kidole mwili nzima utapata homa.

Huwezi leo ukanambia Myahudi anagombea ardhi na Muislam mwenzangu halafu anauw watoto, wazee, bila hesabu halafu mimi nisiumie huku nilipo.

Au midege na manowari za kivita za Marekani zinawaua Waislam wenzangu huko Iraq na Syria halafu mimi nisiumie huku?

Upuuzi huo.


Si kweli.

Muislam hana sababu ya kumchukia yeyote yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena mimi suo punga sawa??
Hapa unasema hamna dini iitwayo ukristo

Hapa tena unamalizia kwa kusema dini hiyo ipo ila ni wafuasi wake wa paulo

Kwahiyo hiyo dini ipo au haipo?

Sikia bro,iwe imeanzishwa na yesu,paulo,padri jones au magufuli hiyo sio kesi....kesi ni kuwa hiyo dini na watu wake hawapendwi na Allah hivyo muislam usitupake mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kusema uislam hauna chuki na mtu yeyote.
Kwa msingi huo dini zingine zote uislam una chuki nazo...na muislam mtu wa kumpenda ni muislam mwenzake tu wengine wote maadui.
Dini ya Kristo ni dini Paulo sio ya Yesu.. Hivyo ndivyo nilivyokusudia..

Dini aliyokuwa akihubiri Yesu ni dini ya Allah, ni sawa na dini aliyokuwa akihubiri Mussa, Daudi na Mitume wengine wa Mungu..

Itakuwaje Allah asiipende dini aliyokuwa akihubiri Yesu, wakati yeye Allah ndio aliemurisha afanye hivyo..

Amka kaka, wakati ndio huu
 
Hayo mambo umetoa wapi kichwani mwako au?? Nani kakuambia kuna utawala wa shetani unajengwa?mimi nasema uislam sio target ya shetani bali waarabu ni target ya marekani kwaajili ya mafuta...(tofautisha waarabu na uislam)
Wewe una reference au ni bongo zako ndo reference?
Ipo siku pande mbili hizo ambazo kwa picha ya nje zinapigana lakini kwa picha ya ndani zipo pamoja, zitakaa katika meza moja na kutengeneza SATANIC EMPIRE

Haya ni maneno yako mwenyew then unaniuliza tena Mimi!!! Ajabu kweli hii!!! Soma conclusion ya izi wako afu uje tena

Ulivyo mfinyu wa fikra unataka reference kw jambo dogo hivi. Fikiri nje ya bokisi. Si lazima kila jambo liwe na reference ( The home of great thinkers). Take me as a reference!!!

Kuna mambo hayana reference Ila yapo ivo ila ni lazima uwe thinker, mf

Rais wa Tz lazima awe either Christian or Muslim

Akiwa muislam ni lazima awe Yule asiyejua chochote kuhusu dini yake. Kifupi yule asiye na msimamo

Akiwa mkristo ni lazima awe mkatoriki na si nje ya hapo. Nafikir unaikumbuka ile kashfa ya mzee wangu Lowassa kule Arusha kuhusu walutheri

Akitoka Rais muislam then mkristo kw kupokezana na haitabadilika kamwe.
N.B. Haya mambo wala hayahitaj reference.

HOME WORK
Mataifa yote yanayopambana kuusimika ufalme wa shetani yana catalyst ya kuchochea mapambano hayo. Na catalyst kubwa ni media ambayo ndio huufanya Ulimwengu Wote uitike kwa sauti moja. Media ndo silaha kubwa kw ss pengine kuliko hata atomic bomb. Media hizo hutumika kueneza propaganda ikiwemo kuchochea huyu na yule, kuchafua huyu na kumsafisha yule, kufanya hiki kiwe kibaya na kile kizur n.k n.k.

Mataifa yote makubwa yenye ushawishi mkubwa dunian yana media ambazo mbali na yote ni propaganda ya kuuhadaa Ulimwengu na lengo lao ni lile la kishetani.....dunia yenye starehe zisizo na mipaka (Kamari, uzinzi, ulawiti, unyanyasaji kingono, ushoga, dhulma, dunia yenye only one day for worship per year, n.k n.k )

Najua kuwa unazijua media za haya mataifa Mfano BBC, DW, VOA CNN n.k

Jiulize sasa kwanin presenters wa hizi media ni waislam ?

Mfano BBC (presenters)
mariam Omar
Zuhura yunus
Salim kikeke

Think beyond before you come back again with more explanations











Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona mnaswali swala tano ilhali quran imeandika mswali tatu?

Qurani sio gazeti la sani lile kwamba unaweza okota kipande mtaani ukasoma ukaelewa alafu ukacheka la hasha, Quran ni maneno ya Allah yanayohitajia ukae chini ufundishwe na walimu na upewe tafsri yake..na maneno ya Allah ameyasema hapa kwenye haya hii ya Qurani

3:7.Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.

Kwasababu wapinzani alijua mpo na lengo lenu kubwa ni kupotosha watu.

Aya nyingine hii inayotaja swala tano..

78. Shika Sala jua linapo pinduka mpaka giza la usiku, na Qur'ani ya al fajiri. Hakika Qur'ani ya alfajiri inashuhudiwa daima.
Ufafanuzi

Shika Sala zilizo faridhiwa, tangu kupinduka jua kati ya mbingu kuelekea upande wa machwea jua, mpaka kiza cha usiku. Na hizi ndizo Sala za Adhuhuri, Alasiri, Magharibi na Isha. Na pia shika Sala ya Alfajiri ambayo wanaishuhudia Malaika.

Kwahiyo ni wewe kama lengo lako ni kubisha basi hujaanza wewe wapo waliodai hayo maneno ni ya kutunga tu Mtyme alikuwa anatunga tu...

2:23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

Basi wameshindwa hadi leo hii hakuna na Allah kaahidi hawatofanya je wewe utaweza?

2:24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha.
Basi nakusihi wewe mtu usije ukafa katika ukafiri...
 
Qurani sio gazeti la sani lile kwamba unaweza okota kipande mtaani ukasoma ukaelewa alafu ukacheka la hasha, Quran ni maneno ya Allah yanayohitajia ukae chini ufundishwe na walimu na upewe tafsri yake..na maneno ya Allah ameyasema hapa kwenye haya hii ya Qurani

3:7.Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo ndizo msingi wa Kitabu hichi. Na ziko nyengine za mifano. Ama wale ambao nyoyoni mwao umo upotovu wanafuata zile za mifano kwa kutafuta fitna, na kutafuta maana yake; na wala hapana ajuaye maana yake ila Mwenyezi Mungu. Na wale wenye msingi madhubuti katika ilimu husema: Sisi tumeziamini, zote zimetoka kwa Mola wetu Mlezi. Lakini hawakumbuki hayo isipo kuwa wenye akili.

Kwasababu wapinzani alijua mpo na lengo lenu kubwa ni kupotosha watu.

Aya nyingine hii inayotaja swala tano..

78. Shika Sala jua linapo pinduka mpaka giza la usiku, na Qur'ani ya al fajiri. Hakika Qur'ani ya alfajiri inashuhudiwa daima.
Ufafanuzi

Shika Sala zilizo faridhiwa, tangu kupinduka jua kati ya mbingu kuelekea upande wa machwea jua, mpaka kiza cha usiku. Na hizi ndizo Sala za Adhuhuri, Alasiri, Magharibi na Isha. Na pia shika Sala ya Alfajiri ambayo wanaishuhudia Malaika.

Kwahiyo ni wewe kama lengo lako ni kubisha basi hujaanza wewe wapo waliodai hayo maneno ni ya kutunga tu Mtyme alikuwa anatunga tu...

2:23. Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli.

Basi wameshindwa hadi leo hii hakuna na Allah kaahidi hawatofanya je wewe utaweza?

2:24. Na mkitofanya - na wala hamtofanya kamwe - basi uogopeni moto ambao kuni zake ni watu na mawe walio andaliwa hao wanao kanusha.
Basi nakusihi wewe mtu usije ukafa katika ukafiri...
Umeandika mengi ila ni porojo tupu...
Qurani yenyewe haisemi swala tano lakini tafsiri zinatunga maelezo kibao ili kuendana na imani zao.
Mimi sio punga kwamba siwezi kuelewa mpaka aje imam kunifundisha hicho kichaka kilishachomwa kitambo.
Hata maimam wa shia wanatafsiri kuwa swala ziko tatu.
Hivyo usinitishie maneno ya tafsiri za imam wa kusuni apa...tusome quran kama inasema swala ziko tano kama hamna kaa kimya.
 
Ipo siku pande mbili hizo ambazo kwa picha ya nje zinapigana lakini kwa picha ya ndani zipo pamoja, zitakaa katika meza moja na kutengeneza SATANIC EMPIRE

Haya ni maneno yako mwenyew then unaniuliza tena Mimi!!! Ajabu kweli hii!!! Soma conclusion ya izi wako afu uje tena

Ulivyo mfinyu wa fikra unataka reference kw jambo dogo hivi. Fikiri nje ya bokisi. Si lazima kila jambo liwe na reference ( The home of great thinkers). Take me as a reference!!!

Kuna mambo hayana reference Ila yapo ivo ila ni lazima uwe thinker, mf

Rais wa Tz lazima awe either Christian or Muslim

Akiwa muislam ni lazima awe Yule asiyejua chochote kuhusu dini yake. Kifupi yule asiye na msimamo

Akiwa mkristo ni lazima awe mkatoriki na si nje ya hapo. Nafikir unaikumbuka ile kashfa ya mzee wangu Lowassa kule Arusha kuhusu walutheri

Akitoka Rais muislam then mkristo kw kupokezana na haitabadilika kamwe.
N.B. Haya mambo wala hayahitaj reference.

HOME WORK
Mataifa yote yanayopambana kuusimika ufalme wa shetani yana catalyst ya kuchochea mapambano hayo. Na catalyst kubwa ni media ambayo ndio huufanya Ulimwengu Wote uitike kwa sauti moja. Media ndo silaha kubwa kw ss pengine kuliko hata atomic bomb. Media hizo hutumika kueneza propaganda ikiwemo kuchochea huyu na yule, kuchafua huyu na kumsafisha yule, kufanya hiki kiwe kibaya na kile kizur n.k n.k.

Mataifa yote makubwa yenye ushawishi mkubwa dunian yana media ambazo mbali na yote ni propaganda ya kuuhadaa Ulimwengu na lengo lao ni lile la kishetani.....dunia yenye starehe zisizo na mipaka (Kamari, uzinzi, ulawiti, unyanyasaji kingono, ushoga, dhulma, dunia yenye only one day for worship per year, n.k n.k )

Najua kuwa unazijua media za haya mataifa Mfano BBC, DW, VOA CNN n.k

Jiulize sasa kwanin presenters wa hizi media ni waislam ?

Mfano BBC (presenters)
mariam Omar
Zuhura yunus
Salim kikeke

Think beyond before you come back again with more explanations











Sent using Jamii Forums mobile app
Poa basi wewe kama reference sikuamini.
Kwasababu namimi pia ni reference yangu,namimi ninasema Uislam na shetani ni mabestie.
Proof? Mimi ndo reference
Think outside the box
Kama wewe ni shetani adui wa kwanza si angekuwa mungu na dini yake?ungefanya juu chini kuipotosha hiyo dini na kuichafua...ungeingiza vibaraka wako,manabii wa uongo,maraisi ili waanzishe ushoga,kamari etc. ili hata wafuasi wanaomtafuta mungu kupitia hio dini waangukie mikononi mwako....kama kuna dini zingine zisizokuwa za mungu usingekuwa na time nazo kwa kuwa hazikupunguzii kitu...kwahyo wahindu,waislam,wabudha usingewafuatilia kuwachafua au kuwaingizia manabii wako wa uongo ndani yake,kuingiza uchafu wako kama ushoga ndani yake...kwakuwa hata hivo hivo walivo tayari wako upande wako.

Ushasikia manabii wapya wa kiislam au kihindu vibaraka wa shetani??
 
Dini ya Kristo ni dini Paulo sio ya Yesu.. Hivyo ndivyo nilivyokusudia..

Dini aliyokuwa akihubiri Yesu ni dini ya Allah, ni sawa na dini aliyokuwa akihubiri Mussa, Daudi na Mitume wengine wa Mungu..

Itakuwaje Allah asiipende dini aliyokuwa akihubiri Yesu, wakati yeye Allah ndio aliemurisha afanye hivyo..

Amka kaka, wakati ndio huu
Mimi sijali ukristo ulianzishwa na nani awe petro,paulo au nabii tito hiyo sio mada
Point yangu ni kuwa huu "ukristo" ni makafiri kwakuwa hawamuamini muhamad na Allah,,,na Allah hawapendi makafiri

Kwahiyo mtu yeyote asiyeamini uislam i.e muhamad na allah yeye anaitwa kafir

Allah hapendi makafir
Kwahiyo allah hapendi watu wasiokuwa waislam...

Kwahiyo waislam msitudanganye kuwa hamna chuki na mtu yeyote.
Wakati hata allah anawachukia wakristo,wahindu,wabudha,wapagani,n.k
 
Ukweli ni ule ambao hata Aya ya Qur'an iliyowekwa post namba ni ya kujitungia na kumzuwia, haipo kwenye Qur'an, huo ndiyo ukweli?
Kama mtu kaweka Aya sio ,siuniweka iliyo Ya kweli , kila mtu atajua nan ni muongo na nani ni mkweli

Cha msingi Amani ni muhimu bila kukashifiana
 
Dini ya Kristo ni dini Paulo sio ya Yesu.. Hivyo ndivyo nilivyokusudia..

Dini aliyokuwa akihubiri Yesu ni dini ya Allah, ni sawa na dini aliyokuwa akihubiri Mussa, Daudi na Mitume wengine wa Mungu..

Itakuwaje Allah asiipende dini aliyokuwa akihubiri Yesu, wakati yeye Allah ndio aliemurisha afanye hivyo..

Amka kaka, wakati ndio huu
Acha uongo mbele ya watu wazima

YESU na uislamu wapi na wapi ?

Musa ,daudi na uislamu. Wapi na wapi ?


Unataka kudanganya watu wazima na akili zao?
 
Kama mtu kaweka Aya sio ,siuniweka iliyo Ya kweli , kila mtu atajua nan ni muongo na nani ni mkweli

Cha msingi Amani ni muhimu bila kukashifiana
Kasome juu post namba 13 tumeshamuwekea. Kumbe huwa mnakurupuka bila kuusoma uzi.

Kasome kisha useme na umuulize kwanini anadanganya? Kama si mfitini?
 
Umeandika mengi ila ni porojo tupu...
Qurani yenyewe haisemi swala tano lakini tafsiri zinatunga maelezo kibao ili kuendana na imani zao.
Mimi sio punga kwamba siwezi kuelewa mpaka aje imam kunifundisha hicho kichaka kilishachomwa kitambo.
Hata maimam wa shia wanatafsiri kuwa swala ziko tatu.
Hivyo usinitishie maneno ya tafsiri za imam wa kusuni apa...tusome quran kama inasema swala ziko tano kama hamna kaa kimya.

Huna unalolijua, kwa kuwa Allah ndio anayeongoa watu basi rai yangu ni kuomba tu kabla hujafikwa na mauti uwe umeongoka. Kama mashia ndio walimu wako basi umekula hasara
 
Poa basi wewe kama reference sikuamini.
Kwasababu namimi pia ni reference yangu,namimi ninasema Uislam na shetani ni mabestie.
Proof? Mimi ndo reference
Think outside the box
Kama wewe ni shetani adui wa kwanza si angekuwa mungu na dini yake?ungefanya juu chini kuipotosha hiyo dini na kuichafua...ungeingiza vibaraka wako,manabii wa uongo,maraisi ili waanzishe ushoga,kamari etc. ili hata wafuasi wanaomtafuta mungu kupitia hio dini waangukie mikononi mwako....kama kuna dini zingine zisizokuwa za mungu usingekuwa na time nazo kwa kuwa hazikupunguzii kitu...kwahyo wahindu,waislam,wabudha usingewafuatilia kuwachafua au kuwaingizia manabii wako wa uongo ndani yake,kuingiza uchafu wako kama ushoga ndani yake...kwakuwa hata hivo hivo walivo tayari wako upande wako.

Ushasikia manabii wapya wa kiislam au kihindu vibaraka wa shetani??
Nashindwa kukujib ndugu nimesoma zaid ya mara 3 sijaelewa. Embu andika vizur na pangilia hoja nione msingi wako ni upi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suleman jaffo,,,ummi mwalimu,,,,mama samia na kasimu majaliwa wote hao n wakri,,,,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Prof Kabudi, Ally Happy, Jaji Mkuuu Ibrahimis Juma, Hussein Bashe, Hamis Kigwangala, Diwani Athuman mkurugenzi wa TISS, Latifa Mohamed Hamis naibu Mkrugenzi wa PSSSF, Ashatu Kijaji, maulid banyana Mkurugenzi wa shirika la nyumba, etc
Sometimes watu wanalalamika bure tu yani ni mentality hata ufanye nini bado wataamini bila ushaidi
 
Kuna uzushi unasambaa katika jamii ya Kislam kuwa Waislam wananyanyaswa duniani na vita inayopiganwa mashariki ya kati ni dhidi ya Uislam. Hivyo jamii kubwa ya Waslam hasa katika nchi maskini wamekuwa wahanga wakubwa wa ufahamu huo, wanalalamika kuwa mfumo Kristo ndio unawakandamiza, kwahiyo chuki imejengeka katika ufahamu wao hasa dhidi ya Wakristo.

Huo ni uongo ndugu Muislam, uzembe wako ndio umaskini wako wa ufahamu, vita uliyopandikiziwa kichwani mwako ni vita ya ufahamu, maana shetani anatambua kuwa mwenye chuki hawezi kuurithi ufalme wa Mungu. Ndio maana anatumia fursa hii kupitia media kuukandamiza ufahamu wako ili uwe mateka wake.

Ngoja nikuambie ukweli, nchi ambazo Uislam umetokea ndizo nchi tajiri na wakazi wake ambao ni Waarabu ambao ni waislam 99% wanakula bata sana, tena wale ambao wewe unawachukia ndio marafiki zao wakubwa. Mfano nchi zifuatazo ndizo zinaongoza kwa bata sana na utajiri,

1) UTIED ARAB EMIRATES
2) KUWAIT
3) QATAR
4) SAUDI ARABIA
5) BAHRAIN
6) OMAN

Hizi ndizo nchi zilizo jaa Waislam wa kisuni ambao ndio wengi duniani na ni nchi tajiri sana kwa mafuta na uwekezaji wa majengo makubwa na ya kifahari, na tena hizo nchi ni marafiki wakubwa na nchi za Ulaya na Marekani. Watu wakiona Marekani inapigana na Wairaq au Wasyria wanajua hapo Marekani inapigana vita vya kidini, no no no unadanganywa na mashekhe wako au mazingira, Marekani yupo huko kimaslahi na si kidini.

Iraq na Syria na Marekani wamekorofishana tu, zamani walikuwa pamoja, maana Marekani hana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Na kama vita ni baina ya Uislam na Ukristo kama mnavyopotshwa kwanini Saudia Arabia imevamia Yemen ambao kimsingi ni waislam wenzake? Inaua Wayemen kwa mabomu ya sumu na magonjwa. Na kama vita ni dhidi ya Uislam kwanini mwaka 2017 Hizo nchi tajwa ikiwemo na Misri waliungana na Marekani dhidi ya IRAN ambao ni Waislam wenzao. Na tambua mzozo wa Iran na Marekani si mzozo wa dini bali maslahi, Irana na Marekani walikuwa marafiki sana wakati wa Shah, baada ya mapinduzi ya Kishia ya mwaka 1979 ndio wakawa maadui mpaka leo.

Tukija katika nchi za Kaskazini kwa Afrika kama Morocco, Algeria, Tunisia, Misri ambazo 90% ni Waislam zote hizo zina nafuu ya maisha, na wanaishi kwa raha tu tena wanakula bata sana, ukitoa Misri hizo nchi zinatumia Kifaransa pia katika mazungumzo na wanaishi kama wazungu. Ukija kwa habari ya Libya na Sudan Kaskazini, vurugu za huko si za kidini bali za kimaslahi, Gadafi na Bashir wali provoke Marekani kimaslahi, sasa hicho unachokiona ndio matokeo ya matamshi yao na si habari ya Uislam hapo. Na tukija katika nchi yenye Waislam wengi duniani yapata milioni 200, ambayo ni INDONESIA, utaona huko hakuna masumbufu kwa Waislam, tena huko ndio kuna mabichi makubwa duniani ambayo kuna utalii mkubwa wa watu kutoka Marekani na Ulaya.

Na cha ajabu Ulaya na Marekani Waislam wanaishi vizuri sana tena kwa uhuru kuliko hata katika nchi za Kislam, huko wanajenga misikiti, wanatangaza dini yao kwa Amani, na katika nchi zao ukitangaza Ukristo wanakuua, kwao Biblia ni marufuku. Sasa kati yao na Wakristo ni wapi wenye chuki?. Na mzozo wa China na Waislam si wa kidini bali wa kisiasa, na China haisumbui Waislam tu bali hata Wakristo na Mabudha, na lakustajabisha ni Marekani na UN ndio watetezi ya jamii hizo zinazoteseka huko China.

Jambo lingine ambalo Waislam wamelitafasiri kidini, ni mzozo kati ya Palestina na Israeli, rafiki hapo hakuna mzozo wa kidini, Myahudi hana shida na Uislam, huo mzozo ni wa ARDHI. Na Waislam shida yao ni mji wa Yerusalem hasa msikiti wa Al-aqsa na dome of the rock na si miji mingine kama Gaza au Bethlehem ama Tel-Aviv, pia hawana shida na kuwatetea Wapalestina, wapo tuli hasa hizo nchi za Kislam zilizo tajiri, na Wapalestina wanalitambua hilo, na kuna wakati waligombana na wa Yordan walipotaka kudhibiti eneo hilo, na kumbuka Yordan ni Waislam, sasa tafakari kwanini iwe hivyo?. Ni kwamba Wapalestina hawataki kuliachia eneo hilo la Yerusalem limilikiwe na Waislam bali wanalitaka wao ili uwe mji mkuu wa Wapalestina. Huku Bongo utakuta mtu amekenua meno tu akilaumu Wakristo kuwa ndio sababu ya shida zake za kidini na kimaisha…POLE.

Mwisho
Vita vinavyoendelea duniani ni vita vya kisaikolojia, hivyo usiishie kuona tu mabomu na vifaa vya kijeshi na majeshi makubwa na udini, hivyo vita vinapiganwa katika akili yako. Na ndio maana vimeugawa ufahamu wako, na umechukia upande mmoja. Na jambo hilo ndio moja ya matokeo ya mtaala unaoitwa HEGELLIAN DIALECT na formula yake ni Thesis x Antthesis = Synthesis. Yaani anzisha mzozo, weka suluhisho na jibu ni Muhafaka.

Hii ni kanuni ya kishetani ya kunasa ubongo wako, kwahiyo tambua kuwa pambano kuu alipiganwi huko mashariki ya kati bali linapiganwa katika akili/ufahamu wako. Sharti uchague ni upande gani utakao utumikia, kama ni ule wa Mungu [Haki, Amani, na Neema] au ule wa Shetani[ Uovu, Chuki na visasi]. Ipo siku pande mbili hizo ambazo kwa picha ya nje zinapigana lakini kwa picha ya ndani zipo pamoja, zitakaa katika meza moja na kutengeneza SATANIC EMPIRE ndipo utalia na kusaga meno maana utakuwa umechelewa kufanya maamuzi sahihi. WALIO JUA SIRI HII WAMEWEKA TUMAINI LAO KWA MUNGU NA UJIO WA YESU KWA MARA YA PILI.

View attachment 1350847
Kaka umeandika maneno mengi, lakini imeonyesha una ufahamu mdogo sana, juu ya mambo yafuatayo.

1. Hujui siasa ni nini ?
2. Huwezi kutenganisha siasa na dini. Ila zipo siasa za kishetani. Rejea kitabu kiitwacho "Ademokratia"
3. Hujaonyesha marejeo ya bata la nchi za kiarabu na nchi za kikafiri, yaani hujaonyesha vigezo vya kuwafanya hao ndio wala bata sana.
4. Kuna nukta moja kama wewe unajinasibisha na Uislamu basi utakuwa katika dini ya Ushia, hapa ni baada ya kusema "....waislamu wa kisuni" hapa na imani kabisa umemaanisha jambo.
5. Hujatueleza uislamu unasemaje kuwa na urafiki na wasio kuwa Waislamu. Je unakataza hilo au?

Kuna udhaifu mwingi sana umeonyesha katika dibaji yako hii.

Nakuja kuendelea hapa nilipo ishia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom