Mimi sifanyi assumption hapa, ninachoweza sema ni kwamba:
Kama wewe ni myahudi huna nguvu ya kupinga mamlaka ya shetani ( satanic empire). Katika kuusimika utawala wa shetani myahudi sio target kabisa. Empire ya shetani mpinzan wake mkubwa dunian ilikuwa ni Uislam na Ukristo. Ukristo umeshakubali yote. Kanisa lina kashfa zote za ushetani na sasa mpinzan aliyebaki ni Uislam peke yake na Wala Si uyahudi.
Uyahudi hauna nguvu yoyote na haujaenea popote pale ulimwenguni.
Myahudi mfadhili wake mkubwa ni Yule anaepigania utawala wa shetani. Na ndo huyo huyo aliewakusanya wayahudi na kuwapa nguvu mwaka 1948 kwa kuusimika utawala kandamiz wa Esrael.
Kama hujui myahudi na satanic empire ni "Ni ng'ombe na mmasai "
Sent using
Jamii Forums mobile app