Usidanganywe ewe Muislamu

Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Kama wewe ni myahudi huna nguvu ya kupinga mamlaka ya shetani ( satanic empire). Katika kuusimika utawala wa shetani myahudi sio target kabisa. Empire ya shetani mpinzan wake mkubwa dunian ilikuwa ni Uislam na Ukristo. Ukristo umeshakubali yote. Kanisa lina kashfa zote za ushetani na sasa mpinzan aliyebaki ni Uislam peke yake na Wala Si uyahudi.

Huwez kuwa huelewi....

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay nakuona unajua mipango na target za empire ya shetani...hujachelewa tu kuniambia nawewe ni agent wa shetani
 
Unadhani Waislamu ni wajinga? Wanajua wanachikisema na kitabu chao kimo moyoni. Huwa hawadanganywi kwani wanao mwongozo wa maisha yao.
 
Unadhani Waislamu ni wajinga? Wanajua wanachikisema na kitabu chao kimo moyoni. Huwa hawadanganywi kwani wanao mwongozo wa maisha yao.
Heheheh...mbona sheikh wanadanganywa kuswali mara tano? Imeandikwa wap kweny quran?
 
sio kweli Dafur waislamu weusi walikuwa wakitwangwa na waislamu waarabu hatukusikia tamko la waarabu waislamu wa uarabuni kulaani au kutoa tamko

liko swala la waislamu wasomali kule somalia wanauana hovyo wao kwao wao hatusikii tamko toka waislamu wa uarabuni waarabu kulaani

lakini akiguswa mwarabu mwenzao mpalestina waislaamu waarabu wa uarabuni wanataka misikiti yote afrika itangaze maonezi na kuuawa mwarabu muislamu mpalestina na madhira wanayofanyiwa!!!!

huo mshikamano wa kiislamu ni kwa ajili ya waislamu waarabu tu?

Wewe sema tu unachuki na waislamu na waarabu kwa ujumla,,,chuki zenu mwisho wake huwa ni mbaya. So endelea na chuki zako ewe myahudi mweusi unaetambuliwa kima/sokwe na mabeberu,,na ndio maana trump anawatukana


Kwa taarifa yako ewe NASWARA/YAHUDI mweusi, waarabu na sisi ni ndugu "Muislamu ndugu yake muislamu" 2kienda kwao wanathamini na kujali uwepo wetu kuliko wewe ukienda nchi za makafiri wanakutambua SOKWE, KIMA, na isitoshe mkatukanwa SHITHOLE, WAZINIFU N.K,,,


Wewe myahudi mweusi unaechukia Waarabu/Waislamu hautaubadilisha undugu wetu na waarabu. "ALMUSLIM AKHUH MUSLIM"


Endelea kuumia mpaka upasuke 😂😂😂😂
 
Nilipokua shule nilizani wazungu wanachuki na Uislaam ila baada ya kumaliza na kujisomeasomea sana Magazeti na Vitabu mbalimbali na kuingia kwenye mitandao ya nje na ndani nikaamini Wazungu hawana shida na Uislaam na hawana mpango na Dini yoyote wao wana mambo yao.

Nikiona watu wanabishana masuala ya Kidini nawaona wajinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma vizuri wewe,wafikiri hilo ni gazeti,hapo ni mara tano:
Q:11:114. Na simamisha sala katika ncha mbili za mchana(nayo ni(1) Adhuhuri na (2)Laasiri) na nyakati za usiku zilizokaribu na mchana (na yayo ni (3)Magharibi na(4) Isha -ziko karibu na na mwisho wa mchana;na(5 )Alfajiri iko karibu na mwanzo wa mchana ).....
Hiyo aya inasema mswali mara tatu...alfajir na jioni na usiku unapoanza
Hiyo tano nani aliileta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipokua shule nilizani wazungu wanachuki na Uislaam ila baada ya kumaliza na kujisomeasomea sana Magazeti na Vitabu mbalimbali na kuingia kwenye mitandao ya nje na ndani nikaamini Wazungu hawana shida na Uislaam na hawana mpango na Dini yoyote wao wana mambo yao.

Nikiona watu wanabishana masuala ya Kidini nawaona wajinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi ,

Wazungu wahangaike na uislamu uwasaidie nn?

Wazungu wanawaza Malighafi kama Gesi, mafuta. ,Wanyama , Madini

Wahangaike na uislamu ambao wameuona hadi unavyokuja ,ili iweje
 
Huu uzi na mleta uzi ni watu wanaotumika kuleta fitna.

Nawaomba Moderator mziangalie vizuri sana hizi nyuzi.

Hawa USA wanataka kuanzisha au wameshaanzisha chokochoko za kutuchafua Tanzania?

Ukiitazama hii habari, ukiitazama habari ya aliyechana Qur'an, ukija kusoma nyuzi kama hii za.huyu anayejiita Mcqueenen hapa JF.

Ukifikiri ya Makonda kunyimwa visa, ukifikiri ya Watanzania kuondolewa kwenye bahati nasibu ya green card, ukifikiri ya World Bank, ukifikiri ya msaada wa silaha kutoka USA, ukifikiri ya Tanzania kutangazwa siyo salama sana kwa utalii.

Kwa yote hayo unaweza kuunganisha dots na kukuta tayari jungu limeshapikwa na linangoja kupakuliwa tu.

Allah tulinde na wenye kutia wasiwasi kwenye nyoyo za watu. Allah tuepushe na shari na hassad zote, tunazoziona na tusizoziona.

Haya si madogo kwa kiwango chochote kile, inabidi serikali, wasio na dini na wenye dini, tuwe macho na kuwa na subira na tusifanye pupa kwa hizi fitna zinazoendelea.

Tusikubali kuchonganishwa.
 
Soma vizuri wewe,wafikiri hilo ni gazeti,hapo ni mara tano:
Q:11:114. Na simamisha sala katika ncha mbili za mchana(nayo ni(1) Adhuhuri na (2)Laasiri) na nyakati za usiku zilizokaribu na mchana (na yayo ni (3)Magharibi na(4) Isha -ziko karibu na na mwisho wa mchana;na(5 )Alfajiri iko karibu na mwanzo wa mchana ).....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ataelewa wapi huyo, yeye lengo lake hapa ni fitna tu.
 
Heheheh...mbona sheikh wanadanganywa kuswali mara tano? Imeandikwa wap kweny quran?
Heheheh...mbona sheikh wanadanganywa kuswali mara tano? Imeandikwa wap kweny quran?
Dini yao inatokana na maamrisho ya quran ambayo nayo hutafsiriwa vyema kwa maelekezo ya Mtume wao. Suala la swala limetokana na maamrisho ya quran, kwamba waislamu wanatakiwa waswali. Quran 2:43 "na shikeni/simamisheni/dumisheni swala na toeni zaka na rukuuni pamoja na wanaorukuu. Na aya hizi zipo nyingi kwenye Quran. Ama waswali vipi imekuja kwenye maelekezo ya Mtume wao. Hawadanganywi mkuu.
 
Dini yao inatokana na maamrisho ya quran ambayo nayo hutafsiriwa vyema kwa maelekezo ya Mtume wao. Suala la swala limetokana na maamrisho ya quran, kwamba waislamu wanatakiwa waswali. Quran 2:43 "na shikeni/simamisheni/dumisheni swala na toeni zaka na rukuuni pamoja na wanaorukuu. Na aya hizi zipo nyingi kwenye Quran. Ama waswali vipi imekuja kwenye maelekezo ya Mtume wao. Hawadanganywi mkuu.
Sasa mbona mnaswali swala tano ilhali quran imeandika mswali tatu?
 
Soma vizuri wewe,wafikiri hilo ni gazeti,hapo ni mara tano:
Q:11:114. Na simamisha sala katika ncha mbili za mchana(nayo ni(1) Adhuhuri na (2)Laasiri) na nyakati za usiku zilizokaribu na mchana (na yayo ni (3)Magharibi na(4) Isha -ziko karibu na na mwisho wa mchana;na(5 )Alfajiri iko karibu na mwanzo wa mchana ).....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo unalazimisha maana
"And establish prayer at the two ends of the day AND at the approach of the night."
Kama unajua lugha na una atom hata moja ya ubongo utaelewa kuwa

1."At the two ends of the day" -ni swala mbili za ncha ya siku..ingekuwa ni swala moja ingeandikwa "at the end of the day" hii hauna shida nayo...shida umeleta hapa

2."And At the approach of the night"- ni swala moja, kama zingekuwa swala tatu kama usemavyo ingeandikwa "and at the three approaches of the night"
 
Mimi sifanyi assumption hapa, ninachoweza sema ni kwamba:

Kama wewe ni myahudi huna nguvu ya kupinga mamlaka ya shetani ( satanic empire). Katika kuusimika utawala wa shetani myahudi sio target kabisa. Empire ya shetani mpinzan wake mkubwa dunian ilikuwa ni Uislam na Ukristo. Ukristo umeshakubali yote. Kanisa lina kashfa zote za ushetani na sasa mpinzan aliyebaki ni Uislam peke yake na Wala Si uyahudi.

Uyahudi hauna nguvu yoyote na haujaenea popote pale ulimwenguni.

Myahudi mfadhili wake mkubwa ni Yule anaepigania utawala wa shetani. Na ndo huyo huyo aliewakusanya wayahudi na kuwapa nguvu mwaka 1948 kwa kuusimika utawala kandamiz wa Esrael.

Kama hujui myahudi na satanic empire ni "Ni ng'ombe na mmasai "

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo umetoa wapi kichwani mwako au?? Nani kakuambia kuna utawala wa shetani unajengwa?mimi nasema uislam sio target ya shetani bali waarabu ni target ya marekani kwaajili ya mafuta...(tofautisha waarabu na uislam)
Wewe una reference au ni bongo zako ndo reference?
 
kuna

1 muislamu aliye na elimu juu ya uislamu wake na anaishi katika misingi ya uislamu na huyu ndie MUISLAMU


2 mwenye jina la kiislamu ila haujui uislamu wala hajishughulishi kuujua uislamu.huyu ndio katika wale waoandikizwa chuki na wakazivaa chuki khaswaa na hata ukimtuma akalipue mahali basi kwake ni rahisi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Allah mwenyewe ana chuki dhidi ya makafiri...wewe ni nani mpaka useme hauna sababu ya kuwachukia wasio waislam?? Unamzidi hikima Allah?
Quran 30 :44''That He may reward those who have believed and done righteous deeds out of His bounty. Indeed, He(Allah) does not love the disbelievers."
Mkuu, hapo ndipo wale mnaojiita" Wakristo" yaani wale mnaofata dini ya Paulo mnapokose,Mkisoma Biblia hamfahamu Quran halikadhalika

Uislam unamuamini na kumtukuza Isa aka ISO aka Yesu, Yesu ametajwa mara 25 katika Quran..

Ni wajibu wa Muislam kumsalia Yesu aka Isa kila anapotajwa, kwani Waislamu wanaamini ni Mtume wa Mungu na kila alichofanya kajaaliwa na Mungu..

Quran inapossema "disbelievers," yaani Wasioamini haimaanishi wafuasi wa Yesu aka Isa, kwani yote ALIYOHUBIRI na ALIYOFANYA Yesu kafanya kwa matakwa ya Mungu..

"Disbeliever" ni mtu kama wewe unaefata Mafundisho ya Paulo na kuyaacha ya YESU,

Nina uhakika hapo ulipo hujakata GOVI, unakula NGURUWE, Unaamini mafuta ya UPAKO, Upepo wa KISULISULI, Unaamini kuwa YESU ni Mungu, nk..

Mungu atakujaalia iko siku utafahamu., amin
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom