Usidanganywe ewe Muislamu

Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Binadamu humu wanajitahidi sana kuleta mgawanyiko kwa kisingizio cha dini!

Huu upuuzi tena mkubwa...

Wana hamu sana...ya kuona machafuko..ya kidini...

Huu ni mtego wa panya.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena mimi suo punga sawa??
Hapa unasema hamna dini iitwayo ukristo
Hakuna dini inayoitwa "Ukristo"
Hapa tena unamalizia kwa kusema dini hiyo ipo ila ni wafuasi wake wa paulo
Wewe kama ni Mkristo basi ni mfuasi wa Paulo sio Yesu, kwani Paulo ndie alianzisha hiyo dini..
Kwahiyo hiyo dini ipo au haipo?

Sikia bro,iwe imeanzishwa na yesu,paulo,padri jones au magufuli hiyo sio kesi....kesi ni kuwa hiyo dini na watu wake hawapendwi na Allah hivyo muislam usitupake mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kusema uislam hauna chuki na mtu yeyote.
Kwa msingi huo dini zingine zote uislam una chuki nazo...na muislam mtu wa kumpenda ni muislam mwenzake tu wengine wote maadui.
 
Ngoja nikupe darsa la darsa lako
Huyo mtafsiri wa kiswahili alikosea na Hilo neno apo wa-zulafan ilitakiwa iwe na katika wakati sio katika nyakati..
Ndomana translations za kiingereza sahih inasema and at the approach of night
Haijasema at the approaches of the night.
Au unaweza kusema at the first part of the night au early hours of the night bado haibadili maana....sio early PARTS of the night hapo inabadili maana
Kwahiyo hapo salat ya usiku ni moja tu na sio nyingi kama Zinavotungwa..
Swala tatu ni hizi tu

1- Salat Al-Fajr 24:58

2- Al-Salat Al-Wusta 2:238

3- Salat Al-Isha 24:58

View attachment 1352057
Asante mkuu. Pengine sheikh Farsy alikosea, kama ilivyo ada ya mwanadamu. Sasa chukua ya sheikh Ali Muhsin " na shika sala katika ncha mbili za mchana na NYAKATI ZA USIKU zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka". Bado ni sala tano. Na mkuu hii huwa haisemwi tu. Ni maelekezo ya Mtume wao.
 
Asante mkuu. Pengine sheikh Farsy alikosea, kama ilivyo ada ya mwanadamu. Sasa chukua ya sheikh Ali Muhsin " na shika sala katika ncha mbili za mchana na NYAKATI ZA USIKU zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanaokumbuka". Bado ni sala tano. Na mkuu hii huwa haisemwi tu. Ni maelekezo ya Mtume wao.
Mkuu kwani sheikh muhsin sio binadam??
Hapa ndo nimeanza kuamini uongo ukirudiwa rudiwa masikioni mara nyingi,unakuwa ukweli.
Keep in mind hapa bongo na east africa asilimia 99 ya waislam ni sunni...kwahyo hata hiyo translation itakaa kisunni sunni
Mara chache sana utakuta watu wanakuwa wakweli,mara nyingi huwa wanapindisha maandiko yaendane na imani zao...
Ndomaana mimi nikakurudisha kwenye original Qur'anic arabic.
 
Mwanamke, hasa wakiislamu hawezi kuzini
Kwani aliyepanga serikali isiwe na dini ni mkristo au muislam?
Sasa ikishakuja mahakama ya kadhi hapo serikali imeanza kuwa na udini (mahakama ni nguzo ya serikali)

Halafu mbona kuna waislam wengi tu waliipinga hiyo mahakama,,nakuhakikishia hata hapa tz wakisema waislam tu wapige kura hiyo mahakama inaweza isipite kwasababu wengi ni wazinzi na wala ngurue na wanatamani uhuru wa kuchagua maisha,hawapendi kuwa watumwa wa dini (mfano sheria kuwa ukiacha dini sharti uuwawe)...wewe huoni watu wanakimbia saudia arabia kwenda kuishi marekani kwa amani.

Nje ya mada lakini eti swali!!!
Kwamfano mkristo akizini na mwanamke wa kiislam wakadakwa,,According to hiyo mahakama ya kadhi adhabu itakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo wewe. Hata ukisikia unaelewa Kiarabu wewe?
Kwa Nini nchi za kiislanu wanakitwangana iwe Libya au nchi za kiarabu za Iraq ,Syria nk kwa Nini waislamu wakimbizi wanapenda kukimbilia nchi za ulaya za Wala kitimoto hawakimbilii Nchi za kiislanu za uarabuni Kama wanapendana waislamu?

Hata wapemba 2011 walipovurumushwa Pemba na risasi walikimbilia kwa Wala kitimoto uingereza na canada

Kwa Nini waislamu kukitokea tatizo nchi zao za kiislamu wanapenda kutimukia kwa wakristo Wala kitimoto na sio kwa waislamu wenzao?
 
Huu uzi na mleta uzi ni watu wanaotumika kuleta fitna.

Nawaomba Moderator mziangalie vizuri sana hizi nyuzi.

Hawa USA wanataka kuanzisha au wameshaanzisha chokochoko za kutuchafua Tanzania?

Ukiitazama hii habari, ukiitazama habari ya aliyechana Qur'an, ukija kusoma nyuzi kama hii za.huyu anayejiita Mcqueenen hapa JF.

Ukifikiri ya Makonda kunyimwa visa, ukifikiri ya Watanzania kuondolewa kwenye bahati nasibu ya green card, ukifikiri ya World Bank, ukifikiri ya msaada wa silaha kutoka USA, ukifikiri ya Tanzania kutangazwa siyo salama sana kwa utalii.

Kwa yote hayo unaweza kuunganisha dots na kukuta tayari jungu limeshapikwa na linangoja kupakuliwa tu.

Allah tulinde na wenye kutia wasiwasi kwenye nyoyo za watu. Allah tuepushe na shari na hassad zote, tunazoziona na tusizoziona.

Haya si madogo kwa kiwango chochote kile, inabidi serikali, wasio na dini na wenye dini, tuwe macho na kuwa na subira na tusifanye pupa kwa hizi fitna zinazoendelea.

Tusikubali kuchonganishwa.
Kuna fitna gan hapa

Huu uzi una shida gani ?

Kusema kwamba msidanganyike kuhusu propaganda mnazoambiwa kila siku imekuwa fitna?
 
Kuna fitna gan hapa

Huu uzi una shida gani ?

Kusema kwamba msidanganyike kuhusu propaganda mnazoambiwa kila siku imekuwa fitna?
Ni fitna na umejaa chuki. Ukiwa na wewe mpenda fitna na mwenye chuki hautoweza kuliona hilo.
 
dini ya kuwatia vidole wanawake.
IMG-20200207-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni fitna na umejaa chuki. Ukiwa na wewe mpenda fitna na mwenye chuki hautoweza kuliona hilo.
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli

Mnataka kujifungia ndani ya boks

Siku ukitoka ndani ya boksi liitwalo UDINI unaweza uka uchallange uislamu ,
 
Kwa Nini nchi za kiislanu wanakotwangana iwe Libya au nchi za kiarabu za Iraq ,Syria nk kwa Nini waislamu wakimbizi wanapenda kukimbilia nchi za ulaya za Wala kitimoto hawakimbilii Nchi za kiislanu za uarabuni Kama wanapendana waislamu?

Hata wapemba 2011 walipovurumushwa Pemba na risasi walikimbilia kwa Wala kitimoto uingereza na canada

Kwa Nini waislamu kukitokea tatizo nchi zao za kiislamu wanapenda kutimukia kwa wakristo Wala kitimoto na sio kwa waislamu wenzao?
Uliza ki heshima. Au ndiyo heshima uliyofundishwa kwenu hiyo?

Au ni mihemko na chuki tu?
 
Ila kiukweli kabisa waislam wanachuki sana na ukristo. Sijui ni kwa nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipotoshe uma,waislam wanasubira Sana kuliko dini yoyote ile,nikuulize ulishawahi kuona au kusikia muislamu kakojolea Bible au kaichana hapa Tanzania?Lakini wakristo wamekuwa wakikejeli Quran kila uchao,sasa niambie ni Nani mwenye chuki dhidi ya mwenzie!?
 
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli

Mnataka kujifungia ndani ya boks

Siku ukitoka ndani ya boksi liitwalo UDINI unaweza uka uchallange uislamu ,
Ukweli ni ule ambao hata Aya ya Qur'an iliyowekwa post namba ni ya kujitungia na kumzuwia, haipo kwenye Qur'an, huo ndiyo ukweli?
 
Mtumwa unaejidhania upo huru,
Majanga mangapi yanawakuta waislamu waafrika na hatuoni waislamu waarabu wakiambatana kupinga,lkn nyie mwarabu akipapaswa kidogo tu mnaandamana
Umepiga porojo ndefu lakini umesahau kuwa Muislam ndugu yake ni Muislam.

Waislam ni kama kiwiliwili kimoja, ukikiumiza kidole mwili nzima utapata homa.

Huwezi leo ukanambia Myahudi anagombea ardhi na Muislam mwenzangu halafu anauw watoto, wazee, bila hesabu halafu mimi nisiumie huku nilipo.

Au midege na manowari za kivita za Marekani zinawaua Waislam wenzangu huko Iraq na Syria halafu mimi nisiumie huku?

Upuuzi huo.


Si kweli.

Muislam hana sababu ya kumchukia yeyote yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom