Usidanganywe ewe Muislamu

Usidanganywe ewe Muislamu

Status
Not open for further replies.
Kafiri ni yule asieamini Mungu,..

kama unaamini Yesu ni Mungu basi wewe ni Mshirikina sio KAFIRI

Yesu ni mmoja wa Mitume takatifu kwenye Uislam, Waislamu wanaruhusiwa kushirikiana na "Ahlil kitab"(watu wa vitabu)

Ahlil kitabu ni Wayahudi na Manasara, Manasara ni wale wanao fata Injili ya Isa aka Yesu..

Note:Biblia sio Injili., INJILI ni mahubiri ya Yesu, BIBLIA ni mkusanyiko wa vitabu 40 vilivyoandikwa na watu tafauti akiwemo Paulo..

Don't get confused son,that the way it is..
Hahah your knowledge is so poor...
Kwahiyo wakristo na wahindu sio makafiri?
Kafir ni mtu asiyeamin uislam mdogo wangu.
Quran inasema wakristo na wayahudi ni viumbe wabaya kuliko wote...yani bora ibilisi au nguruwe kuliko mkristo au myahudi
Sasa kama unaruhusiwa kushirikiana na myahudi basi umeruhusiwa kushirikiana na nguruwe na ibilisi.
 
Kwanza unajua nini maana ya neno ISLAM?
Pili hamna hata sehemu moja nilipoandika Kuwa Yesu alikuwa Muislam..

Bila shaka Yesu alikuwa Muislam kama utakuwa unajua nini Maana ya Neno ISLAM..

Lakini huo ni mjadala mengine, let us stick to the point..,usitutoe nje ya mada
Unataka kuweka link ya neno unyenyekevu? Uislam na Judaism ni vitu viwili tofauti kama hufahamu, usikilize elimu za akina Mazinge zile za ujanja ujanja. Fuatilia utafahamu hiyo dini mpaka leo ipo, ni chui na paka hakuna urafiki wowote baina ya uislam na uyahudi. Nenda Yerusalem utashuhudia hata kibla kila mtu ana yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaron Arsenal

Kasome juu post namba 13 tumeshamuwekea. Kumbe huwa mnakurupuka bila kuusoma uzi.

Kasome kisha useme na umuulize kwanini anadanganya? Kama si mfitini?

Baada ya kukufahamisha kuwa unaemtetea kadanganya nikakupa na namba ya post tulivyombamba, kama ulivyouliza.

Naona hujarudi kumkanya kwanini anasema uongo badala yake naona na wewe umeanza kusema uongo ule ule wa kuzibadili Aya za Qur'an.

Vipi, imani yenu inawafundisha kusema uongo na kubadili maandiko?

Mnajisumbua tu, Qur'an hamtaweza kuibadili.
 
Hahah sasa wakisema waite waislam wote tanzania kupiga kura ya mahakama ya kadhi...watawatengaji hao safi na wasio safi?
..
Kwanza point yangu haikuwa nani muislam safi na nani sio,point yangu ni kuwa hawa waislam Tz wengi wahuni tu ukiwaita wengi hawataitaka Sharia.
Na swali sasa.
Watajuaje huyu ni muislam na huyu sio?
Kumbuka wote wana majina ya kiislam,wanaswali msikitini,wanafunga ramadhan,wanaenda kuhiji,wanaswali swala tano,wanamuamini muhamad,wanaiamini quran,wanawake wanatinga hijab,wanaume wana sigda.
UISLAMU na MUISLAMU ni vituviwili tofauti muislamu anaweza akawa wema mwajuma rukia. Ally .abdallah nk na wakafanya maasi kuzini kula nguruwe kutokusali kunnywa pombe nk lakini yote hayo uislamu haukumtuma afanye hayo na ataadhibiwa kwa matendo yake. Uislamu una sheria zake na kanuni zake zilizoteremshwa kutoka mbinguni na umekamilika nikizifuata mimi ni muislamu na kama nikizipinga mimi sio muislamu hata kama naitwa mohamed au jamila

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani muislam wa kweli ni yule nzi akitua anamgeuzia bawa la pili,
Yule akikojoa anageukia kibla,
Yule haweki picha yoyote nyumbani kwake,hana Tv kwakuwa Tv inaonesha picha,hana simu kwakuwa simu inaonesha picha,Yule ambaye kila asubui anaamka kupenga makamasi kwakuwa ibilisi huwa analala kwenye pua
Kwasingi huo Hakuna muislam tanzania kama unataka muislam awe yule anaefuata uislam 100% hakosei ata kidogo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom