Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,248
- 6,501
Habari wadau.
Nimestaajabu kusikia mji mkuu wa Rwanda Kigali ni msafi kuliko mji mkuu wa Ujerumani Berlin pia ni salama zaidi kuliko mji mkuu wa Austria Vienna. Hili limedhibitishwa na jopo la watafiti kutoka Ulaya wakiwa wabobezi ktk sayansi na mazingira.
Mods naomba msihamishie Uzi huu ktk jukwaa mnalofikiria kunafaa. Acheni humu humu wanasiasa wetu wajifunze Africa hakuna kisichowezekana. Wanasiasa hawa waranda sana humu kuliko huko mtakapouhamishia. Asante.
Source: Magazeti ya Ujerumani kuhusu Africa.
Nimestaajabu kusikia mji mkuu wa Rwanda Kigali ni msafi kuliko mji mkuu wa Ujerumani Berlin pia ni salama zaidi kuliko mji mkuu wa Austria Vienna. Hili limedhibitishwa na jopo la watafiti kutoka Ulaya wakiwa wabobezi ktk sayansi na mazingira.
Mods naomba msihamishie Uzi huu ktk jukwaa mnalofikiria kunafaa. Acheni humu humu wanasiasa wetu wajifunze Africa hakuna kisichowezekana. Wanasiasa hawa waranda sana humu kuliko huko mtakapouhamishia. Asante.
Source: Magazeti ya Ujerumani kuhusu Africa.