Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Sina nia ya kuweka mustakabali wangu kwa wanasiasa ambao kitu kikubwa wanachoweza ni kuwarubuni wapiga kura,_Mzee
Frank Costello aka "the prime minister of the mob" alikuwa ni underboss wa familia ya kimafia ya Luciano iliyokuwa chini ya Lucky Luciano. Baada ya Luciano kuwa deported kwenda Italy akamteua Vito Genovese kuwa boss na Costello akaendelea kuwa underboss. Baada Luciano kushindwa juhudi zake za kurudi US jina la familia likabadilika na kuitwa Genovese crime family. Vito Genovese naye akawa na msala ikabidi akimbile Italy ndipo Costello akachukua hatamu za Genovese Crime family mpaka Genovese aliporudi.Familia ni nyingi mku, Mario Puzo ametumia lugha ya picha kuwajumuisha mamafia wengi hasa kipindi cha Banana War.
Mfano mzuri tu misemo mingi ya Vito wameichukua kwa bwan Gravano ambao ni bosi (marafiki)wa familia ya Gambino.
Tabia za fujo fujo zote ni za familia ya wakina Colombo.
Lakini mishe mishe zote za Vito Corleone ni za bwana Frank Castello rafiki wa familia ya Luciano.
F.B.I wanasema hakuna Judge wa New York aliyechaguliwa bila idhini ya bwana Castello wakampa jina Prime Minister.
Familia ya Colombo na Gambino siyo sana kwasababu walikuwa ni wauza unga na vitu vingine.
Vito Corleone ( Frank Castello) rafiki au bosi wa familia ya Luciano alikuwa hapendi kabisa biashara ya madawa ya kulevya.
Yeye ilikuwa ni kamali tu kama walivyofanya kwenye filamu.
Kumbuka Vincent Corleone, the illegitimate son of Sony Corleone ndio alimrithi Michael na akawa Don
So people are interested to know how he was able to protect the Corleone family after the death of Michael
Mtoto wa Michael hakuwa na interest yoyote na his father's organization
Yule binti yake ndio huyo aliuwawa
Mkuu nina uhakika una maana Al Pacino na sio Capone. Al Capone hakuwa actor bali alikuwa mkuu wa genge la kihalifu la Chicago maarufu ka "the outfit".Mkuu Al Capone alikuwa kwenye The Scarface na ni muuza unga.
Vito Corleone ni Frank Castello ambaye alikuwa hapendi kabisa biashara ya unga.
Vito Corleone kama Frank Castello alikuwa amewanunua wanasiasa kibao Marekani.
Vito Corleone kama Frank Castello alianzisha vita kwenye familia za kimafia.
Vito Corelone kama Frank Castello alikuwa ana akali na anapenda kutumia diplomasia.
Vito Corleone kama Frank Castello alipgwa risasi hadharani lakini akapona.
F.B.I wanasema alikuwa na familia ndogo lakini ina ushawishi mkubwa balaa.
Nyang'au Vince?
Ngoja tuone shughuli yake aiseee.
Frank Costello aka "the prime minister of the mob" alikuwa ni underboss wa familia ya kimafia ya Luciano iliyokuwa chini ya Lucky Luciano. Baada ya Luciano kuwa deported kwenda Italy akamteua Vito Genovese kuwa boss na Costello akaendelea kuwa underboss. Baada Luciano kushindwa juhudi zake za kurudi US jina la familia likabadilika na kuitwa Genovese crime family. Vito Genovese naye akawa na msala ikabidi akimbile Italy ndipo Costello akachukua hatamu za Genovese Crime family mpaka Genovese aliporudi.
Carlos Tevez ndiyo best movie yake na ndiyo movie aliyokua anajifunzia kiingereza hiyo kipindi yupo anacheza England.Its a masterpiece.
Obama aliwahi kusema ndiyo movie yake anayoipenda kuliko zote.
Mkuu nina uhakika una maana Al Pacino na sio Capone. Al Capone hakuwa actor bali alikuwa mkuu wa genge la kihalifu la Chicago maarufu ka "the outfit".
Carlos Tevez ndiyo best movie yake na ndiyo movie aliyokua anajifunzia kiingereza hiyo kipindi yupo anacheza England.
Sasa sijui kipindi hiki atawazungumzia wakina nani?
Miaka ya nyuma walisema Di Carprio anaweza akawekwa kwenye filamu ya nne sijajua kama bado wana huo mpango.
Kama ataiandika kwa mazingira ya Sasa atapwaya sana. Labda airudishe kwenye mazingira yale yale...na sijui ataongelea nini!!Ndio maana watu wampempiga pressure Francis Copolla atengeneze Godfather part 4
hicho hicho?Kile kidingi Actor?
Kama ataiandika kwa mazingira ya Sasa atapwaya sana. Labda airudishe kwenye mazingira yale yale...na sijui ataongelea nini!!
hicho hicho?
vipi wewe man? ipi unaona kuliko zote?Its a masterpiece.
Obama aliwahi kusema ndiyo movie yake anayoipenda kuliko zote.
That will be interesting.No
Ataandika script Ya wakati ule especially after the death of Michael
The main story will be based on Vince
That will be interesting.
GiulianoSasa sijui kipindi hiki atawazungumzia wakina nani?
Miaka ya nyuma walisema Di Carprio anaweza akawekwa kwenye filamu ya nne sijajua kama bado wana huo mpango.
vipi wewe man? ipi unaona kuliko zote?
vipi wewe man? ipi unaona kuliko zote?