Tz-guy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 436
- 88
Mzee mmoja toka bush ambaye hajui vizuri kiswahili aliingia hotelini ili ale kuku ila alisahau anaitwaje. Kuangalia meza ya pili akaona kijana mmoja kaletewa mayai ya kuchemsha kwenye sahani. Basi akamwambia mhudumu huku akinyooshea mkono yale mayai "NILETEE MAMA YAO"