Usicheke wala kusmile

Usicheke wala kusmile

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
IVI KUNA WATU WANAFANYA YAFUATAYO.

1. WANAOMBA MUNGU KABLA YA KUMEGA TUNDA NA WAKIMALIZA WANAMSHUKURU PIA.
2. WANATUNZA RECORD KILA WAKIKUTANA KIASI KWAMBA WANAWEZA KUJUA TOKA WAANZE WAMENANIHI MARA NGAPI
3. KILA MMOJA ANAMSHUKURU MWENZAKE NA KUMPOMNGEZA KWA KAZI NZURI BAADA YA KUNANIHII.

NAAMINI KAMA YUPO HUYO MTU BASI ANITAFUTE NIMPE BANZOKA ZAKE.
icon13.png
 
Kuna watu hata hawawakumbuki walio-do nao!!!
 
IVI KUNA WATU WANAFANYA YAFUATAYO.

1. WANAOMBA MUNGU KABLA YA KUMEGA TUNDA NA WAKIMALIZA WANAMSHUKURU PIA.
2. WANATUNZA RECORD KILA WAKIKUTANA KIASI KWAMBA WANAWEZA KUJUA TOKA WAANZE WAMENANIHI MARA NGAPI
3. KILA MMOJA ANAMSHUKURU MWENZAKE NA KUMPOMNGEZA KWA KAZI NZURI BAADA YA KUNANIHII.

NAAMINI KAMA YUPO HUYO MTU BASI ANITAFUTE NIMPE BANZOKA ZAKE.
icon13.png
hahaaaaaaaaaaaa u made ma day boy
 
mie namuomba na kumshukuru M/mungu kabla na baada ya kubanduana tu. Nalog off
 
Hiyo #3 mkuu, mbona ni ya kawaida tu. Kwani huwezi mwambia mchuchuuu wako "Asante sana kwa penzi motomoto na..............."! Nimeshindwa kumalizia.
 
Back
Top Bottom