pole sana, naona umeamua kumuintertain rafiki wa kitambo! ungetaka kumkamata ungemkamatavizuri tu na simu angerudisha, sasa ameshauza tayari!
ukatili ni kipaji aisee..yani wamchome moto kabisa?!?
Umenikumbusha mbali sana, hili wanaliweza shemeji zangu Wapare pekee!! Anauza ng'ombe kwa kesi ya mbuzi, yaani hapo ni ili akukomeshe tu.
Hata salam yenyewe isiwe ile yakushikana mikonoPole sana sahvi cha kumwamini mtu ni salamu tu.
Hata salam yenyewe isiwe ile yakushikana mikono
Kiazi kama huyo ajichanganye anga hizi! kaisha. POLE SANA MKUU.
ungekua umeoa wala ucnge ibiwa. sema mnaona wanawake kama nuksi ila ni msaada mkubwa ktk maisha. uyo mwizi wako mtafute mkamate chukua namba yake mpe mwanamke ajifanye amewrong no. utampata kilaini sana. tena huyo jamaa c ananjaa mpe huyo mwanamke elfu 5000. aitume kwake zen ajifanye amekosea ampigie amwambimbe arudishe. akigoma akae tena wiki amrushie nyingine najua elfu 15000 ukiitumia vizur unamkamata. sku ya tatu amwambie waonane ajifanye ametokea kumpenda amwahid vitu vizur najua njaa zake zitamweka ktk 18