Kwanza Pole sana kwa hili.
Hembu tuambie yafuatayo:
a)Huyu mtu kwa mwaka uliomaliza shule ni kwamba Picha zake zipo,hembu weka hapa,kama huna marafiki zako wanazo.
b)Weka number yake ya simu hapa,ili kama kuna mwana JF anamjua atakusaidi kiurahisi
c)Kama mliosoma waote shule ya msingi ni kmwaba hata familia zenu zinajuana,wasiliana na familia yake
Mie sijawahi kumiliki sim ya zaidi ya laki na nusu maisha yangu yote,sasa hili ni somo pia.Mchina kaleta Galaxy ya bei rahisi na inafanya kama hayi yako,na wenzio wanakuwa wana cc documnets kwenye Private email account au laptop kwa dharura kama hizi.Ni Somo kwa wengine pia, simu laki 6 - 1 m?