USIA wa Nyerere unaoishi leo

Do you know the reason why?

Are you an african?\

Do you understand African Politics or you have been brainwashed by western media?
Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa African politics ni kukubali kiongozi kuua watu wake na wewe ukae kimya, no? I'd rather think out of the box and accept your label of being brainwashed by the western media.
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

1. Tusingemtoa amin, tungeokoa maisha ya Wanajeshi wetu na wa Uganda waliopoteza maisha.
....................

...na pia ilibidi tumuachie tu ili awakomboe ndugu zetu wa Kagera kutoka kwenye dhiki.....ya........."Saint JKN"
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

.....................
2. Tungetumia rasillimali kwa kuleta maendeleo; kuliko kwenda Kampala.
........................

.............kama ambavyo tunazitumia hivi sasa...............honestly I like it.......this way!!
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

1. Tusingemtoa amin, tungeokoa maisha ya Wanajeshi wetu na wa Uganda waliopoteza maisha.
2. Tungetumia rasillimali kwa kuleta maendeleo; kuliko kwenda Kampala.
3. Tungetumia OAU na UN kumdhibiti Amin,
4. Tusingekula vyakula vya mgao, dona ya njano, sabuni ya harita na chumvi kwenye Uji wa chai.
5.Kudhibiti watu wasitumie magari Jumapili.

Ndio munaniambia eti kama THINKING OUT OF THE BOX IS WAR MONGERING AND ECONOMIC RETARDATION
Tusingemtoa Amini? nafikiri wewe unamsoma Amini Dadaa kwenye vitabu vya historia nenda waulize watu wa Kagera watakusimulia
tuulize watu wa Mwanza tuliokuwepo wakati ule tutakusimulia, kwa sababu bila ya Nyerere kuamua kumtoa Kagera haraka nafikiri kikao kilikaa Diomond Jubilee(uwezo tunao sababu tunayo na nia tunayo) Amini alikuwa amepanga within one week awe ameshaichukua Mwanza.

Sasa Makame kama ardhi yako imeshachukuliwa ungekuwa na uwezo upi wa kutumia rasilimali kuleta maendeleo nafikiri unayosema ni nadharia tu.
 
...na pia ilibidi tumuachie tu ili awakomboe ndugu zetu wa Kagera kutoka kwenye dhiki.....ya........."Saint JKN"

Uganda walikuwa na maisha bora zaidi kuliko WTZ. Waulize wanajeshi waliopigana vita watakuambia, "tulishangaa Nyerere alikuwa anasema hawa wananchi wa Uganda wanateseka wakati maisha yao ni mazuri kuliko sisi, wana freedom, fridge, tv, wakati sis hatuna chochote"
Huyo ndiye Dictator Nyerere master wa propaganda.
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

........................
3. Tungetumia OAU na UN kumdhibiti Amin,
.............

.........tungetumia vyema resources zetu.................Kama ambavyo tunazitumia kumdhibiti Omar Bashir et al............
 
Tusingemtoa Amini? nafikiri wewe unamsoma Amini Dadaa kwenye vitabu vya historia nenda waulize watu wa Kagera watakusimulia
tuulize watu wa Mwanza tuliokuwepo wakati ule tutakusimulia, kwa sababu bila ya Nyerere kuamua kumtoa Kagera haraka nafikiri kikao kilikaa Diomond Jubilee(uwezo tunao sababu tunayo na nia tunayo) Amini alikuwa amepanga within one week awe ameshaichukua Mwanza.

Sasa Makame kama ardhi yako imeshachukuliwa ungekuwa na uwezo upi wa kutumia rasilimali kuleta maendeleo nafikiri unayosema ni nadharia tu.

Hizo ndizo zilikuwa propaganda za master wa propaganda Nyerere. Let's be honest
 
Uganda walikuwa na maisha bora zaidi kuliko WTZ. Waulize wanajeshi waliopigana vita watakuambia, "tulishangaa Nyerere alikuwa anasema hawa wananchi wa Uganda wanateseka wakati maisha yao ni mazuri kuliko sisi, wana freedom, fridge, tv, wakati sis hatuna chochote"
Huyo ndiye Dictator Nyerere master wa propaganda.
Shamu kuteseka si kwa kukosa fridge na TV tu waulize watu wa Libya kwanini wanasema wanateseka wakati kila mlibya anapofikisha umri wa kuoa anajengewa nyumba.
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

1. Tusingemtoa amin, ............ Tusingekula vyakula vya mgao, dona ya njano, sabuni ya harita na chumvi kwenye Uji wa chai.
..............

........Oh Yes!.........as we are now (25 years after JKN) doing much better than Rwanda, Uganda and Burundi..............
 
Uganda walikuwa na maisha bora zaidi kuliko WTZ. Waulize wanajeshi waliopigana vita watakuambia, "tulishangaa Nyerere alikuwa anasema hawa wananchi wa Uganda wanateseka wakati maisha yao ni mazuri kuliko sisi, wana freedom, fridge, tv, wakati sis hatuna chochote"
Huyo ndiye Dictator Nyerere master wa propaganda.
Shamu,
I have been to Uganda. First time hata hujazaliwa (nadhani) in 1962). Nilikwenda Uganda kikazi baada ya Idi Amin kupinduliwa. Yale maduka aliyowanyang'anya wahindi na kuwapa marafiki zake, yalikuwa matupu. Nikauliza kwa nini, wakanieleza kuwa waliopewa hayo maduka hawakuwa wafanyibiashara kwa hiyo hata hawakujua fundamentals za kuagiza bidhaa. Waliokuwa wana friji na tv ni wanajeshi wake na marafiki zake ambao Idi amin alikuwa anapeleka ndege zimejaa kahawa Uingereza na kurudi na hizo finished goods. Hazikuwa kwa kila raia but those in the military and close to Amin. Ni kama hivi tunavyoshuhudia hivi sasa utajiri wa kina Lowassa na akina Ridh1 tutoe tafsiri kuwa Tanzania imetajirika. Jifunze mdogo wangu, the truth is not so hard to see.
 
Shamu kuteseka si kwa kukosa fridge na TV tu waulize watu wa Libya kwanini wanasema wanateseka wakati kila mlibya anapofikisha umri wa kuoa anajengewa nyumba.

Freedom!! Uganda kulikuwa na freedom zaidi kuliko TZ, wakati wa Dictator Nyerere. Vita vya Uganda, kawaulize wanajeshi waliopigana vita hivyo watakuambia walivyokuta raia wa Uganda wanavyoishi maisha mazuri kule. Let's be honest
 
Propaganda at its best. Thinking out of the Box.

1. Tusingemtoa amin, ........
5. Kudhibiti "Tusingedhibiti" watu wasitumie magari Jumapili.

Ndio munaniambia eti kama THINKING OUT OF THE BOX IS WAR MONGERING AND ECONOMIC RETARDATION

....kwa sababu Ni sawasawa hata sasa watu kutumia magari ya serikali kwa shughuli zao binafsi........na kubandika majina yao.....huku wakichukua mafuta kutoka bohari kuu ya serikali...........

.......well............Yes I'm brain washed by western media!.........
 
Hizo ndizo zilikuwa propaganda za master wa propaganda Nyerere. Let's be honest
Sio propanganda mzee mimi nilikuwepo Mwanza wakati ule uliza waliokuwepo Mza kuna jet zililenga kuipiga hospitali ya Bugando
bahati zikarudishwa na kuangusha makombora kisiwa cha saanane, kuna nyumba nyingi tu zilipigwa mabomu mjini Mwanza
sasa unaposema zilikuwa propaganda za Nyerere nakushangaa mkuu.
 
Shamu,
I have been to Uganda. First time hata hujazaliwa (nadhani) in 1962). Nilikwenda Uganda kikazi baada ya Idi Amin kupinduliwa. Yale maduka aliyowanyang'anya wahindi na kuwapa marafiki zake, yalikuwa matupu. Nikauliza kwa nini, wakanieleza kuwa waliopewa hayo maduka hawakuwa wafanyibiashara kwa hiyo hata hawakujua fundamentals za kuagiza bidhaa. Waliokuwa wana friji na tv ni wanajeshi wake na marafiki zake ambao Idi amin alikuwa anapeleka ndege zimejaa kahawa Uingereza na kurudi na hizo finished goods. Hazikuwa kwa kila raia but those in the military and close to Amin. Ni kama hivi tunavyoshuhudia hivi sasa utajiri wa kina Lowassa na akina Ridh1 tutoe tafsiri kuwa Tanzania imetajirika. Jifunze mdogo wangu, the truth is not so hard to see.


Unajicontradict mwenyewe, hizo zilikuwa poilicies za Nyerere pia ktk Azimio la Arusha. Nyerere alifanya kama hivyo alivyotaifisha mali za watu na kuwapa wale wasiojua kitu chochote ktk biashara. T
Tofauti kati ya Nyerere na Idd Amin ni kwamba, Uganda walikuwa na freedom ya free market, na Nyerere Ujamaa, ambao ULIFELI vibaya zaidi. Let's be honest
 
Freedom!! Uganda kulikuwa na freedom zaidi kuliko TZ, wakati wa Dictator Nyerere. Vita vya Uganda, kawaulize wanajeshi waliopigana vita hivyo watakuambia walivyokuta raia wa Uganda wanavyoishi maisha mazuri kule. Let's be honest
Shamu,
Nimekwambia safari yangu ya kwanza Uganda ilikuwa 1962. Kwa hiyo hayo unayoyasema mimi nimeyashuhudia. Lakini kusema kuwa Uganda ilikuwa na uhuru zaidi ya Tz hapo sitakukubali kabisa. Kwanza huwezi kuwa na uhuru kama mnabaguana kwa makabila. Waganda hawakutaka hata kusikia mambo ya lugha ya Kiswahili. Wanatuita sisi walagh'ai, wezi, waswahili. Siku ya kwanza nazungumza kiswahili sokoni mjini Kampala nilizungukkwa na kundi la mama wa Kiganda wakisema "mtanganyika, mtanganyika. Nikamuuliza mwenyeji wangu aliyekuwa Makerere wakati huo ndio akanisimulia ubaguzi wa Waganda dhidi ya abanyamaanga ( ndio sisi hao, non Ugandans) Wale waliokubaliana na Idi amin na sera zake ndio hao aliokuwa anawapa marupurupu ya friji na tv. Lakini, overall, lini friji na tv vikawa vipimo eti watu wanaishi maisha huru na bora? Waulize Walibya.
 
Freedom!! Uganda kulikuwa na freedom zaidi kuliko TZ, wakati wa Dictator Nyerere. Vita vya Uganda, kawaulize wanajeshi waliopigana vita hivyo watakuambia walivyokuta raia wa Uganda wanavyoishi maisha mazuri kule. Let's be honest

.........Sio suala la kuwauliza watu wa Uganda........wengine tulikuwepo ndani ya Uganda.........
 
Unajicontradict mwenyewe, hizo zilikuwa poilicies za Nyerere pia ktk Azimio la Arusha. Nyerere alifanya kama hivyo alivyotaifisha mali za watu na kuwapa wale wasiojua kitu chochote ktk biashara. T
Tofauti kati ya Nyerere na Idd Amin ni kwamba, Uganda walikuwa na freedom ya free market, na Nyerere Ujamaa, ambao ULIFELI vibaya zaidi. Let's be honest
Where is the contradiction? Nyerere hakuwanyang'anya Wahindi maduka na kuwapa marafiki zake. Azimio la Arusha lilikuwa na lengo la kufuta unyonyaji ambao hivi leo unarudishwa kasi na sera za akina Mwinyi, Mkapa, Kikwete.
 
.........Sio suala la kuwauliza watu wa Uganda........wengine tulikuwepo ndani ya Uganda.........
Jamani, hata kile kitufe cha I like this kimeondolewa. Mkuu, nilitaka kukupa thanks lakini naona tumehujumiwa! Thanks.
 
Freedom!! Uganda kulikuwa na freedom zaidi kuliko TZ, wakati wa Dictator Nyerere. Vita vya Uganda, kawaulize wanajeshi waliopigana vita hivyo watakuambia walivyokuta raia wa Uganda wanavyoishi maisha mazuri kule. Let's be honest
Sijakuelewa un argue kitu gani kuhusu maendeleo ya Uganda wakati ule, yes hata kama walikuwa na maendeleo kutuzidi kwa hiyo
tukivamiwa tusijitetee kwa vile wameendelea actually i don't see the logic hebu niweke sawa.
 
I believe amin was pro swahili.

The only problem between amin and nyerere was obote ousted.

Ile vita haikuwa kwa maslahi ya tanzania na watanzania.

shamu,
nimekwambia safari yangu ya kwanza uganda ilikuwa 1962. Kwa hiyo hayo unayoyasema mimi nimeyashuhudia. Lakini kusema kuwa uganda ilikuwa na uhuru zaidi ya tz hapo sitakukubali kabisa. Kwanza huwezi kuwa na uhuru kama mnabaguana kwa makabila. Waganda hawakutaka hata kusikia mambo ya lugha ya kiswahili. Wanatuita sisi walagh'ai, wezi, waswahili. Siku ya kwanza nazungumza kiswahili sokoni mjini kampala nilizungukkwa na kundi la mama wa kiganda wakisema "mtanganyika, mtanganyika. Nikamuuliza mwenyeji wangu aliyekuwa makerere wakati huo ndio akanisimulia ubaguzi wa waganda dhidi ya abanyamaanga ( ndio sisi hao, non ugandans) wale waliokubaliana na idi amin na sera zake ndio hao aliokuwa anawapa marupurupu ya friji na tv. Lakini, overall, lini friji na tv vikawa vipimo eti watu wanaishi maisha huru na bora? Waulize walibya.
 
Back
Top Bottom