Ushuhuda wenye kuumiza mno

Inahuzunisha ndio ila kuokoa mtu kwenye mazingira hayo sio wazo zuri kabisa.

Binafsi ningefanya hivyo kama tu pasingelikua na watu wengine pembeni.
 
Angalau abiria wa bodaboda amekutwa na kifo wakati wa kutenda mema. Kufa kwake ni faida...maandiko yanasema.

Wengine sijui tutakutwa na vifo vyetu katika mazingira gani!
Wizi, utapeli ugoni ugomvi... [emoji144][emoji848]
 
Duuuh kwaiyo aliwapa hao watu mioyo migumu ili itokee kilichotokea?
 
Hata Mimi hii imenishangaza.
Yaani watu wapo busy kuchota mafuta badala ya kuwasaidia waliokuwa ndani ya gari.

Ni kukosa ubinadamu na utu .
 
Inahuzunisha ndio ila kuokoa mtu kwenye mazingira hayo sio wazo zuri kabisa.

Binafsi ningefanya hivyo kama tu pasingelikua na watu wengine pembeni.
Unapotoa msaada ,usiangalie wengine wanatoa au hawatoi.
As long as unafanya Jambo jema,wewe fanya tu..bila kujali Ni wangapi hawajafanya..na kila mmoja atatoa hesabu zake kwa nafasi yake aliyopewa.
 
Ndicho kilichotokea Morogoro kweli unataka kuniambia watu zaidi ya 500 walikuwa wanachota mafuta na kirandaranda eneo la tukio zaidi ya nusu saa bila kumuona na kumsaidia kumuokoa dereva?
 
Premature death, untimely death, death caused by ignorance and negligence..

Kwa kuwa tunajifanya watu wa imani basi tunamsingizia Mungu kuwa amepanga au sijui shetani ndo kafanya yake na tunasahau kuna mahali hatujatimiza wajibu.

Fikiria police wangewahi na kuweka ulinzi hakuna mtu angelazimisha kuiba mafuta, wangesimama mbali wanaangalia.

Ukiacha Hayo chukulia mgonjwa aliye wodini anamwita nurse kwa kuwa amebanwa pumzi nesi anamu ignore baada ya mda anafariki, kumbe nesi angemuwahi kwa sindano au oxygen yule mgonjwa angepona, sisi tunasema mapenzi ya Mungu.

Kufa ni lazima lakini wakati mwingine tunakufa kabla ya muda, bado hatujui kuthamini uhai...
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji115][emoji115][emoji115][emoji109][emoji109][emoji109][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mungu mwenye upendo wote anaachaje watoto wake wanateketea?
Kwani amewaacha wateketee bila sababu ? Hujajiuliza swali hili ?

Pili, yeye ndio ametaka wateketee sababu kifo ni haki na muda ukifikia Mola huwa hacheleweshi hata sekunde.

Tatu,upendo wa Mola wetu ni upendo kamili ambao una ambatana na mambo kadha wa kadha,kama kutupa akili ya kujua lipi jema na lipi zuri,na kutupa muda wa kujirekebisha na mfano wake.
 
Inasikitisha na kushangaza kweli! mtu anashindwa kumuokoa mwenzake kwa kuchelewa kutafuta kisu kukata mkanda, wakati huo huo anakimbia haraka kutafuta dumu, ndoo, sufuria kuchota mafuta.[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Inauma sana ila hakika dunia ni mapito tu kwani hakuna ajuaye siku yake ya mwisho,mungu ilaze roho ya marehemu mahali pema amiin
 
Mungu mwenye uwezo wote kashindwaje kubadilisha io fate wanae wapendwa wasiteketee na moto?
Hili ni swali la uongo kwake,yaani umekosea kuuliza swali bila shaka kwa kutomjua Mola ana sifa gani na tabia gani.

Vipi ashindwe kuzuia wakati yeye ndio ametaka litokee na akaruhusu litokee ?

Mlitakiwa mumjue kwanza Mola ndio mumjadili,ila sababu hamumjui basi mnauliza maswali ya kitoto sana kumuhusu yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…