USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

hivi kwanin watu waoga kuanzisha? Unauhakika majibu utayopata hapa ni ya kweli?
 
mimi ni msichana bado sijaolewa, kabla sijasema kama natafuta mchumba au la, naomba kuuliza kama kuna aliyewahi kupata mwenzi humu na wapo wanaisha vizuri.
Kukusaidia kutana na babu Asprin
 
Kuwa smart kivipi? Awe ananyosha nguo na perfume ama aje?
Binafsi sijawahi kupata hapa JF; lakini Darhotwire nilifanikiwa kwa kiwango kikubwa enzi za ujana wangu. Nakumbuka nilimsafirisha mrembo 1 toka Zanzibar akanifuata hadi nilipokuwa naishi .... inapendeza sana.
 
Im sorry to say this. Mtu anayekuja kutafuta mchumba humu awe mwanamke au mwanaume lazima atakuwa na matatizo, tena makubwa. Haiwezekani watu woooote hao unaokutana nao mtaani, maofisini, na sehemu mbalimbali ushindwe kujenga uhusiano, halafu ufikiri kuna magic partner utampata kwenye mtandao.
Ndani ya utandawazi unakosea ndg yangu, haiwezekani ushindwe kuelewa kuwa humu JF, hakuna utofauti na barabarani, msibani,kwenye basi,kwenye ndege, chuoni,.................huyo huyo unayekutana naye mtaani ndio aliye na account hapa JF.
 
popote atapata tu mchumba ila .... subiri niwape angalizo vijana wetu....
 
Je ni kweli kuna member wenzetu wamefanikiwa kupata wachumba humu Jamii forum? na kama wapo tunaomba ushuhuda.
 
Mm kama wapo nawapongeza sana,waendelee na moyo huo huo!

Kupendana raha sana!

Demiss njoo utoe ushuhuda hapa mama!
 
Wapo humu wamepata kuna Hanifah na The Bold ,Wengine hawajitangazi,Wewe rusha ndoano kisha uje kutupa mrejesho,wengi wakipata wanakimbia kabisa.
 
Back
Top Bottom