USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

Kuwa smart kivipi? Awe ananyosha nguo na perfume ama aje?

smart kwenye uchaguzi wa huyo muhusika maana kila kitu huku ni fek so ni vizuri kama utampata huyo muchumba humu mpeane profile za ukweli na pia msiishie kugegedana uwe makini ikiwezekana mkutane live kwenye public places kila mnapopanga date ili umfahamu vizuri.
narudia tena uwe makini hawa watu ni waongo acha kabisa
 
Kuna jamaa yangu amempata mke wake facebook, wapo kwenye ndoa mwezi wa nne huu, bado ninawasoma ila wanaendelea vizuri.
 
Asigwa na Jerrymsigwa mchague mmoja wapo they are your perfect match,vijana wacheshi,smart,wanajua kupenda,ku handle hela wanamwaga nje nje all in all ni MA HUSBAND MATERIAL

Nafasi ya 'small house' akitaka ipo!
mwekundu mpe msaada huyo bint acha jokes, ukute kashapita 28years na mlishawasema mara hawaoleweki, bla blaa all -ve just kuwa >27,we unaleta utani.
 
Last edited by a moderator:
Nafasi ya 'small house' akitaka ipo!
mwekundu mpe msaada huyo bint acha jokes, ukute kashapita 28years na mlishawasema mara hawaoleweki, bla blaa all -ve just kuwa >27,we unaleta utani.
basi mwambie nafasi zipo ili zilizopo ni zile za yeye awe anagharamia matumizi ya nyumbani na sio kuchunana-kwa sababu yeye ndo yuko in need
 
smart kwenye uchaguzi wa huyo muhusika maana kila kitu huku ni fek so ni vizuri kama utampata huyo muchumba humu mpeane profile za ukweli na pia msiishie kugegedana uwe makini ikiwezekana mkutane live kwenye public places kila mnapopanga date ili umfahamu vizuri.
narudia tena uwe makini hawa watu ni waongo acha kabisa

yamewahi kukukuta nini?

signature yako nayo inahusika hapa.......... naongezea kidogo , ,,,,,,,,,,,,,

"you cant go around the fire and expect not to sweat"
 
mimi ni msichana bado sijaolewa, kabla sijasema kama natafuta mchumba au la, naomba kuuliza kama kuna aliyewahi kupata mwenzi humu na wapo wanaisha vizuri.

Nitafute private nitakusadia sana
 
Back
Top Bottom