USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

USHUHUDA: Waliowahi kupata wachumba JF

Hahaaa nadhani wadada wengi nitawaliza humu jamaa ni tapeli haswa maana ilibidi tuanze kumfuatilia maisha yake
Hatari sana, anyway humu kuna kila aina ya watu coz ni jamii kama jamii zetu mtaani.

Poleni mlioingizwa chaka.
 
Wenzako wametapeliwa kingono, wametafunwa kirahisi tu na kupigwa chini, pesa usiimaind sana.
Mda mwingine naona bora ingekua hivyo ila aliniingiza kwenye matatizo makubwa but now nashukuru nimeyamaliza

Sema nimejikuta nimekua na roho mbaya sana hadi najishtukia mda mwingine
 
Mda mwingine naona bora ingekua hivyo ila aliniingiza kwenye matatizo makubwa but now nashukuru nimeyamaliza

Sema nimejikuta nimekua na roho mbaya sana hadi najishtukia mda mwingine
Nimeona sehemu umeandika kama sheria zinaruhusu ungeweka utapeli wake humu.

Sheria zinaruhusu ilimradi uthibitishe kweli amekutapeli.
 
Nimeona sehemu umeandika kama sheria zinaruhusu ungeweka utapeli wake humu.

Sheria zinaruhusu ilimradi uthibitishe kweli amekutapeli.
Vithibitisho nnavyo na vyenye uhakika

Ni ile sijui kibinadamu inafikia hatua unatumia tu busara kuacha, maana kwa hali yake uwezo wa kurejesha hana itakayoteseka ni familia yake
 
Vithibitisho nnavyo na vyenye uhakika

Ni ile sijui kibinadamu inafikia hatua unatumia tu busara kuacha, maana kwa hali yake uwezo wa kurejesha hana itakayoteseka ni familia yake
Ukimfumbia tapeli kwasababu ya ubinadamu huku unautangaza nusunusu huo ni unyama maana kuna wenzio wataendelea kulizwa.

Ningekuelewa kama umeamua kukaa kimya ukae pasipo kusema sema sijui nimtaje sijui nimwache. anyway the choice is yours.
 
Mda mwingine naona bora ingekua hivyo ila aliniingiza kwenye matatizo makubwa but now nashukuru nimeyamaliza

Sema nimejikuta nimekua na roho mbaya sana hadi najishtukia mda mwingine
Kuna watu majangili kwa kweli..una mtapeli mtoto wa kike.
Du pole saana
 
Ukimfumbia tapeli kwasababu ya ubinadamu huku unautangaza nusunusu huo ni unyama maana kuna wenzio wataendelea kulizwa.

Ningekuelewa kama umeamua kukaa kimya ukae pasipo kusema sema sijui nimtaje sijui nimwache. anyway the choice is yours.
Kama ningeamua kumuanika ningeifanya mda sana ila sikutaka kukurupuka,

Huyu mtu ilibidi tuanze kumfuatilia taratibu kwa jinsi anavyojiweka na hadi vyombo vya usalama vimehusika, na huwezi jua na yeye amejipanga vipi kukabiliana na hili

Ila nnachojua mwisho wake utafika tu nimewaachia wanaohusika wafanye kazi yao
 
Back
Top Bottom