Ushuhuda wa ukweli kuhusu meditation

I love this post very much
 
Its bullshit you're just wasting your time, omba Mungu, ingia chumbani kwako piga magoti, mweleze Mwenyezi shida yako atakupa unachotaka... Meditation!?? Bullshit

Mungu ni imagination pia, unazungumzuia meditation lakini kwa mtizamo finyu. Hujui kufikiri.
 
Kweli hajitambu isikute hata jinsia yake haitambui pia.
 
Nimekupenda bure kwa maelezo sawia, big up!
 
mimi nina mwezi sasa nimeshindwa kufanya meditation l, sina mwalinu na tatizo kuingiliana kwa mawazo wakati ninapotaka kufanya meditation
 
mimi nina mwezi sasa nimeshindwa kufanya meditation l, sina mwalinu na tatizo kuingiliana kwa mawazo wakati ninapotaka kufanya meditation
Nenda YouTube ka search video za meditation for beginners zitakuja hapo kisha download.
 
Meditation ni ishu ya ki psychology hakuna chochote zaid ya hapo.

Ktk mafundisho ya kiislam yanasema miongoni mwa Neema ambazo mwenyezi mungu amewajaalia waja wake (wanadam) ili hali waja wake hawazifaham ni akili pamoja na afya. Cjiu ktk ukistro hili linasemaje

Nimejaribu kufatilia na kulichunguza haya mafundisho nikaja nikagumia ni kweli ila nilikuja kufam haya baada yakupata elimu ya psychology.

Psychology inatuambia ubongo umegawanyika ktk sehem kuu tatu
1. Conscious mind
2. Subconscious mind
3. Unconscious mind

Sehemu kubwa ambayo tuna itumia katika maisha yetu n subconscious na conscious, Kila mwanadam anaweza kuwa vile unavyotaka km ukiweza kuztumia vzr hz states of mind hasa ktk hii part subconscious mind kuna siri kubwa sana. Ili MTU aweze kufanya meditation subconscious mind lazma ihusishwe

Nb: Upo hvyo ulvyo kutokana na unacholisha akili yako. Chunga sana unacholisha akili yako
 
Anaye itambua meditation vizuri are Maelezo yaliyonyooka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…