Ushuhuda wa kweli: Dodoma waichukia CCM

Ushuhuda wa kweli: Dodoma waichukia CCM

Mkuu ungekuwa unajitambua usinge kuwa unatumia kujitambua kwako kucha kuaandika utumbo wa kishabiki humu ndani. Anaye jitambua huwa ana jicho la tatu kama moja ya macho yake mawili yasipo ona sawasawa.

Naamini huenda hata wewe ulitamani sana kusoma kule unako ita msituni lakini haikuwezekana! Si unajua marks nazo zilikuwa zina matter.

Hahahaha. Kule msituni nani aende wakati mtu akiende kule akitoka amevurugwa mwanzo mwisho wala hasikii haambiwi. Nakumbuka baada ya uhuni uliozidi pale msituni kuna watu waliletwa mjini shule ya ukweli wakaanza kuwavua nguo maadam wa watu wakijafanya checkup bwenini sasa kwa staili ile mliokuwa mnaishi mlikuwa mnatia aibu hata hivyo sikuona ajabu wewe kuwa sehemu ya chadema manake ukiangalia list ya viongozi chadema haujatofautiana nao kabisa nao. Sugu, Lema, Prof j,Tundulisu. Et al.
 
umesoma mada yenyewe ukailewa...? vijana wa CCM sijui AKILI zenu vipi..? Mna matatizo gani ninyi...?
 
hata ikatokwea ccm imechokwa stil sijaona chama mbadala cakututoa hapa tulipo na kwenda mbali bado sana wote hao wakina slaa si ndo wezi wa hela ndogo km sadaka tena za maskin ukimpa nchi ataiacha mixer na wakanda wenzie ma enterprener km mbowe.jambazi la magar lema vuta ndumu la fomu two sugu mwizi mwingine lissu aliejifanya anatetea wachimbaji wadogo kumbe anakula pia na wamigodi nani msafi cdm...

Mkuu bado unafikra za nyerere?! hujaona chama mbadala? we jitoe akili tu mwisho mtaua watu bila mafanikio.
 
Huna unachojua wewe umeona picha wanazopiga watu pale nyelele groung ndiyo unasema ccm kuchokwa.

pengine umeona picha za mzee yusufu zilizobandikwa ukutani ndiyo unasema ccm kuchokwa acha viroba wewe.

Penye red panaonyesha unavyosumbuliwa na U-pinda....

Jamaa picha anayozongumzia ni kitu halisi alichokiona kwa kuongea na watu....!

Nyie viazi ndio maana mmetuchagulia viongozi dhaifu!
 
Asante sana mkuu kwa kuutumia vizuri muda wako ulipokuwa hapo Dodoma , kwa kuongezea tu ni kwamba hali hiyo ndiyo picha halisi ilivyo Nchi nzima , kuna tetesi kwamba Ccm imepanga kuhujumu Daftari la wapiga kura ( hakuna kuliboresha , liwalo na liwe ! ) ili hawa vijana walioshika machepeo yaliyojaa mchanga wakisubiri kuandikishwa ili kuizika kabisa CCM wasiandikishwe !
 
huo utafiti wako sample space zote ulizotumia ni za cdm kwa taarifa yk dom hawana ujinga km wa arusha na mbeya watu wanahangaika na kutafuta maisha ccm wangechokwa cdm wangepata hata jimbo moja juz uchaguzi mdogo bado jamaa wamepeta...danganya wajinga wenzako wa humuhumu jf ambao mpo kikazi zaidi kuitangaza cdm wazee wa sera nyepes sasa mnalia na mwigulu chama kizima

Politics is not a mechanical process my friend!
Its a biological process!
It makes u happy today...
U cray tomorrow..
And vice versa.
CCM had enjoyed TZ 's Politics...
Now ts tym for a vice versa.
 
CCM inapendwa na watoto wa viongozi wa CCM na tena si wote.
 
Back
Top Bottom