Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Maana ya sasa ya CCM=Chama Cha Mauaji. Watanzania wenzangu aman ya nchi iko rehani na hili limethbitishwa rasmi namkurupukaj, mhalalishaji mateso,vipigo na hata hayo mauaji anaejiita mtoto wa mkulima anaenajis neno "mtoto wa mkulima" kwani sasa yeye ameruka hatua yaukulima nakuwa muaji kwakuruhusu askar kupiga na ninavyojua akil ya polis wameruhsiwa kupga nadhan sasa hapo watapga hadi tufe. Huyo pinda akili yake imepinda kwelikweli. Hadhi yake haipo tena mbele yaduru zakiuongoz amejipaka kinyes mwenyewe. Tuombe Mungu atulinde dhidi yahawa magaidi wakiongozwa na Mwigulu msomi wa ugaid alosomea huko CHINA.
 
Nyakati zimetimia, CCM lazima ife tu...!
Nikuumbuka tu hadi waanza kuuana wenyewe kwa wenyewe!!....Wauaji wakubwa!!

CCM kwa mabaya uliyotufanyia tutakukumbuka milele daima.!
 

Attachments

  • Haya ndio maixha bora.jpg
    Haya ndio maixha bora.jpg
    21.8 KB · Views: 168
Mmmm Jamani Mungu atusimamie. Alafu vijana wa CCM wanajiona verry clean na kutuhumu wenzao. Jamani vijana tubadilike hao wazee wanaotupa siraha wao wapo wamekaa makwao salama, imagine kama watu wangegundua hizo mbinu na wakakujeruhi, ingekula kwako wao hawana hasara.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Cjaona chama chakuishinda CCM bado..

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
jamani nawasihi CHADEMA mumlinde huyo kijana.hamisha familia unapoishi watakuua hao kwan bado tunakuhitaji.daaah CCM CCM CCM nahasira sana na nyie
 
mwigulu Nchemba upo? tunatafuta nakala ya pale uliponunua silaha china na wewe pia soon tunakuanika jamvini binafsi wewe kama wewe
 
Ni kweli, CCM wana uwezo mkubwa wa kuanda na kutekeleza hayo yote, ni sehemu ya mikakati yao. Ila naomba kuuliza, ni kwa nini mumechagua kuiamini taarifa hii kirahisi?

soma post page ya nane ya saa mbili na dakika nne, kama unawasiwasi na taarifa hii..
 
Halafu wana jifanya Tanzania ni kisiwa cha amani!Amani gani hapa usanii tu madikteta ndio wana tawala!huyu jamaa bora akimbie nchi tu lazima wata...
 
porojo tu hizi, eti China, watz kwa kupotoshana hatujambo, yaani huyu bwana kiapo chake kimeunganisha matukio tu ambayo anayasoma kwenye magazeti, bure kabisa

Wewe huna uwezo wa kujadili mada hii, soma tu halafu uende zako. Hii inamhusu yule anayevaa red star.


 
Tutaona mengi, make freemanson wamekiuka masharti
 
Yani pamoja na mapepa yoye kuna mijitu inapinga! Kweli ccm majanga..
Ukiuona mtu anapinga pamoja na uthibitisho hapo wa kiapo cheyewe basi jua hilo ni gamba na mabadiliko ni lazima upende usipende unazaliwa unakua na lazima ufe sasa ccm ipo kwenye kifo imeshapumulia mashine imeshindikana......lazima KUFA
 
Aisifiaye mvua ujue imemmnyea ... hakika siku za mwisho kwa magamba ziliambatana na matuikio mengi ya kuogofya na kutatanisha kama haya tuyaonayo sasa.
 
Aisifiaye mvua ujue imemmnyea ... hakika siku za mwisho kwa magamba ziliambatana na matuikio mengi ya kuogofya na kutatanisha kama haya tuyaonayo sasa.
Na wachunguzi wa mambo wanasema mwakani kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa tutaona na kusikia mengi, funga kazi ni mwaka 2015 katiba halafu uchaguzi mkuu...
 
yatafichuka mengi tu, kuanzia vyama vingi 1995 hadi leo. c.c.m ina kikosi cha kutesa watu na kinaratibiwa na TISS. MUNGU ATAWAUBUA TU SUBIRINI KWANI DAMU ZA WATU ZINADAI
 
Back
Top Bottom