Mwenyekiti wa chama hiki ni mjeshi, katibu wake mjeshi na waziri mkuu ni TISS hivyo mambo ya ukachero na vita si ajabu. Wanatumia taaluma zao kufanikisha maslahi ya kisiasa.
Unaniuliza mimi mkuu? Kuhusu hiyo video?eah, unasemaje kaka? umenichanganya!
Please angalieni mtu mwingine akitoa ushuhuda wa uwepo wa mafunzo ya umafia ndani ya kambi za vijana za CCM.
Tafadhali angalia mpaka mwisho.
Wakuu, video hii ni muhimu sana.
Kama hujui kama nyie ni wauaji henry kileo yuko wapi?Bora umeamua kufunguka kamanda ili Dunia itambue mauaji yanayofanywa na ccm na mawakala wake.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums