Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

kueekea 2015 tutaona na kusikia Mengi. Kama asemayo huyu jamaa ni kweli kuna kila sababu ya "kuasi". Sasa naanza amini yale niliyosikia kutoka kwa jamaa mwingine kuhusu Bomu la Arusha. Daaa
 
attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.

Wachina wanalinda maslahi yao, lazima wailinde CCM. Wanajua fika CHADEMA ikichukua nchi, wote wanatimuliwa. WOTE!
 
....na bado wengine walikuwa kilombero huko kwenye kambi ya mafunzo kama hii. naumia kichwa sana kusikia mtu analaani kuanzisha kikosi cha kujilinda anataka ukae tu au "upigwe tu"...
 
Mimi huwa nawashangaa sana wachangiaji wa humu JF hasa hawa pro-CHADEMA,najiuliza upeo wao ni mdogo au ndo athari za secondary na vyuo vikuu vya kata! Mtu mzima povu linakutoka kuhusu habari ya kitoto kama hii ! hujiulizi hata maswali ya msingi kama credibility ya source ya habari yenyewe then u - establish authenticity ya habari yenyewe! Ni hatari sana kwa Chama cha Siasa kushabikiwa na VILAZA na chenyewe kuvimba kichwa kwamba kinaelekea "kuchukuwa" Nchi! Kwa taarifa yenu CCM sasa ni Imara kuliko mnavyofikiri na vichwa vidogo kama vya Panzi ninavyoviona kwa hawa pro- CHADEMA hawawezi kamwe kuiondoa CCM madarakani."the bitter truth which you have no option but to swallow!"
 
Ushahidi tunao mwingi
sana wana namna CCM inavyofanya mambo maovu ambavyo chadema lazima
tujilinde kwani jeshi la polisi limeshindwa kutulinda na bahati mbaya
sana sasa na wao wanatumika kutulipua....

Siyo polisi wameshindwa kutulinda bali maagizo waliyonayo ni ya kutupiga na kutuua.
 
Mimi huwa nawashangaa sana wachangiaji wa humu JF hasa hawa pro-CHADEMA,najiuliza upeo wao ni mdogo au ndo athari za secondary na vyuo vikuu vya kata! Mtu mzima povu linakutoka kuhusu habari ya kitoto kama hii ! hujiulizi hata maswali ya msingi kama credibility ya source ya habari yenyewe then u - establish authenticity ya habari yenyewe! Ni hatari sana kwa Chama cha Siasa kushabikiwa na VILAZA na chenyewe kuvimba kichwa kwamba kinaelekea "kuchukuwa" Nchi! Kwa taarifa yenu CCM sasa ni Imara kuliko mnavyofikiri na vichwa vidogo kama vya Panzi ninavyoviona kwa hawa pro- CHADEMA hawawezi kamwe kuiondoa CCM madarakani."the bitter truth which you have no option but to swallow!"

Mkuu, docs hizo hapo juu na wakati nazileta kwa mara ya kwanza zilikuwa hazijafutwa kwa maana mihuri ya mwanasheria husika ilikuwepo kwa ushauri wa uongozi wa JF turishauriana kuwa tufute hizo sehemu sasa sijui wasiwasi wako uko wapi...
 
Mimi huwa nawashangaa sana wachangiaji wa humu JF hasa hawa pro-CHADEMA,najiuliza upeo wao ni mdogo au ndo athari za secondary na vyuo vikuu vya kata! Mtu mzima povu linakutoka kuhusu habari ya kitoto kama hii ! hujiulizi hata maswali ya msingi kama credibility ya source ya habari yenyewe then u - establish authenticity ya habari yenyewe! Ni hatari sana kwa Chama cha Siasa kushabikiwa na VILAZA na chenyewe kuvimba kichwa kwamba kinaelekea "kuchukuwa" Nchi! Kwa taarifa yenu CCM sasa ni Imara kuliko mnavyofikiri na vichwa vidogo kama vya Panzi ninavyoviona kwa hawa pro- CHADEMA hawawezi kamwe kuiondoa CCM madarakani."the bitter truth which you have no option but to swallow!"

Habari ni ya kitoto kwa sababu hayajakukuta!
Kuiondoa CCM ni mchakato ambao kwa bahati njema mpuuzi kama wewe umekuacha kando!
 
hakuna kinachozaliwa kisife... ccm ina ukimwi ila wanatumia arv daktar wao akina chemba, na majangil wengine lakini lazma ife kama idd amin na hakuna kulia ni kutupia mto kagera
 
Back
Top Bottom