Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Ushuhuda: Namna CCM inavyofanya ugaidi nchini

Umeingiza kisu kwenye mfupa lumumba hawasogei hapa
Tuendelee kuwakumbusha maana mambo mengi yako humu halafu wanaleta usanii wa watu kukamatwa na manati wakati kuna watu wana smg , bastola na hawahojiwi...
 
Tuendelee kuwakumbusha maana mambo mengi yako humu halafu wanaleta usanii wa watu kukamatwa na manati wakati kuna watu wana smg , bastola na hawahojiwi...

Inabidi tuwaulize pia hawa ccm yule Jumanne Mjusi wa Arusha Mbae anapiga watu mapanga kwenye kampeni mbona polisi hawamkamati? Kuna nini nyuma ya pazia
 
Mkuu Crashwise huyu aliyetoa kiapo bado yupo hai?

ccm ni janga la kitaifa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umeamua kuwamaliza kabisa wanafiki hawa nadhani sasa polisi wafuatilie haya wanayofanya Kwa siri ili kuonyesha kweli wanamaanisha kulinda Usalama wa nchi.
 
Tuendelee kuwakumbusha maana mambo mengi yako humu halafu wanaleta usanii wa watu kukamatwa na manati wakati kuna watu wana smg , bastola na hawahojiwi...

Kamanda inabidi kama unazo urushe na zile picha wakiwa wamebebesha watoto silaha nzito na green guards wengine wakifanya mazoezi wakiwa na silaha za moto
 
Inabidi tuwaulize pia hawa ccm yule Jumanne Mjusi wa Arusha Mbae anapiga watu mapanga kwenye kampeni mbona polisi hawamkamati? Kuna nini nyuma ya pazia

Yule hawezi kukamatwa mkuu anasaidia ccm jana kuna jamaa mmoja kiongozi tu ccm kata anasema yeye akiwa na skafu ya ccm hawezi kusimamishwa na traffic maana atamwambia wewe umechoka kuvuta hewa ya Arusha unataka kwenda Simiyu
 
Msangi njoo ujibie na hili ka chama cha c.c.m??
Hawa ndiyo magaidi wa kweli!
 
Kwa style hii nadriki kusema Polisi ni ma..m..buru..la vikofia km u...yo g a pambasi sana hawa..SIJUI WANAKULA MAHARAGE YA WAPI..wanaishi nyumba kotazi mbovu zina nyufa zinauliza tuue mtu humu ndani then bado wanaibeba Nyi nyi e mu..kuna kolorokwini inakuja nyambafu sana polisisiemu
 
Mimi huwa nawashangaa sana wachangiaji wa humu JF hasa hawa pro-CHADEMA,najiuliza upeo wao ni mdogo au ndo athari za secondary na vyuo vikuu vya kata! Mtu mzima povu linakutoka kuhusu habari ya kitoto kama hii ! hujiulizi hata maswali ya msingi kama credibility ya source ya habari yenyewe then u - establish authenticity ya habari yenyewe! Ni hatari sana kwa Chama cha Siasa kushabikiwa na VILAZA na chenyewe kuvimba kichwa kwamba kinaelekea "kuchukuwa" Nchi! Kwa taarifa yenu CCM sasa ni Imara kuliko mnavyofikiri na vichwa vidogo kama vya Panzi ninavyoviona kwa hawa pro- CHADEMA hawawezi kamwe kuiondoa CCM madarakani."the bitter truth which you have no option but to swallow!"

Hata Mimi naweza kuandaa upuuzi kama huu na wenye taarifa za kijinga zaidivya hizi na kuutundika hapa.
Hakuna cha maana zaidi ya habari za kudhani ukijumlisha na kutunga, kazi imekwisha.
 
Hata Mimi naweza kuandaa upuuzi kama huu na wenye taarifa za kijinga zaidivya hizi na kuutundika hapa.
Hakuna cha maana zaidi ya habari za kudhani ukijumlisha na kutunga, kazi imekwisha.

Mnajua kujipa matumaini.
Hicho ni kiapo na ccm hawajawahi kukanusha.
 
Back
Top Bottom