Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Mnajua kujipa matumaini.
Hicho ni kiapo na ccm hawajawahi kukanusha.
Hakuna jipya, mnapenda kutunga uongo bila kufanya homework. Ni kitu gani kinachoyafanya maandishi katika document hiyo kuwa authentic? Hayo ni maandishi tu ambayo mtu yeyote anaweza kuyaandaa bila wasiwasi na akawaeleza watu kuwa ameletewa na watu fulani kutoka kikosi cha siri cha CCM au hata Chadema.