Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Yapo mambo mengi ambayo kusema kweli yananifanya niwaze na kutafakari mengi. Leo nitaanza na hatua za awali kwenye maisha yangu na nitakuwa naweka hapa mambo ambayo nimewahi kuyafanya (Ya ajabu, yaliyonitokea mimi pamoja na ndugu zangu wa karibu)

Ilikuwa ni miaka ya kuanzia 2000 nilipatwa na tukio la aina yake nikiwa shule ya msingi. Yes ni mimi G Sam ambaye nilipatwa na mkasa huu ambao unaniibua kukumbuka mengi zaidi na makubwa ya haya nitakayoelezea hapa.

Aisee sijui lile tukio nililogwa au vipi ila nakumbuka nilikuwa mpole halafu mdogo kuliko wote darasani. Nakumbuka darasa la saba tulikuwa tuna tabia ya kubaki darasani baada ya ile jioni wengine kuondoka.

Sasa siku moja from mo where nikajikuta nimemvuta binti mmoja kama vile nataka kumpa mambo mara ghafla sketi yake ikachanika yote akabaki na chupi aisee darasa acha lianze kupiga kelele, watu acha waanze kukimbia kimbia hovyo huku na huko huku wakinipigia kelele za ubakaji.

Imagine mimi ndiye kichwa darasani na ndiye mdogo zaidi na mbaya zaidi nilikuwa naheshimika sana kwa walimu na wanafunzi.

Kumbe bwa baadhi ya maticha nao walikuwa pembeni kidogo kwenye bar moja hapo hapo shuleni wakipiga vyombo (maji ya mende) wakawa wanatoka wanachungulia kwa mbali.

Jambo nililokuwa nikiwaza ni endapo mama akigundua ataniua! Aisee mama yangu alikuwa mkali sana na katika tukio baya alilowahi kufanya kwa mwanae ambaye ni mdogo wangu anayenifuatia aliwahi kumpiga sana hadi akampofua jicho moja na hajawahi kijutia hilo jambo mpaka leo.

Jambo kubwa zaidi yupo mdogo wangu aliwahi kutenda kosa la kununua simu mtaani mama akagundua ila nakumbuka mdogo wangu alikimbia na akasema kuliko kukamatwa na mama ni heri akajiua!

Alimeza vidonge kwa ajili hiyo ila alinusurika. Mimi mara kibao home nimewahi kulala mashambani usiku kucha kuukwepa mkono wa mama just tu labda sikuosha vyombo, au kuchelewa kupika (Kwetu kulikuwa hakuna cha wa kiume wala wa kike kazi ukipewa ni kijeshi jeshi hadi inaisha). Hivyo nimelala nje sana na ilikuwa kawaida kuliko kuukwaa mkono katili wa mama!

Sasa kwenye lile tukio nilichokuwa nawaza ni hicho. Kukutana na mkono wa chuma wa mama! Basi bwana kesho yake likaitishwa kesi tukahojiwa ila nachoshukuru yule demu alikataa kata kata kutaja nilichokuwa nataka kumfanyia.

Alipigwa stick hadi akawa anatetemeka. Kwa upande wangu nachoshukuru walimu wakaniambia nichague wanipitie na fimbo au mama aitwe (Aisee shule nzima walikuwa wanaufahamu mziki wa mama hivyo wakahisi naweza kuuliwa na bahati nzuri nilikuwa napendwa sana na walimu yani ile ishu ilitokea tu kama ajali).

Yaani kuhusu eti kuchapwa stick niliona kama bonge la zawadi kwangu na nilizipokea kiroho safi stick 17 na baada ya hapo nikawa na amani tele maana nimekwepa msiba.

Ninachoishia kukumbuka ni wanafunzi wawili waligoma kuchapwa maana stick zilitembea darasa zima ila mimi na yule demu tulichapwa zaidi tena sanaa. Wale wawili wakakimbilia zao nyumbani na ikawa mwisho wao wa shule hadi leo.

Naweza kusema niliwagharimu ila pia walikuwa ni miongoni mwa wanafunzi waliokuwa tu pale kukamilisha ratiba wamalize zao elimu ya msingi wakapambane na mtaa hivyo sikuwagharimu sana.

Hilo ni tukio ambalo siwezi kulisahau maana kwanza lilinidhalilisha sana!

Ila pia eneo la shule nilikuwa nalitumia sana wakati wa weekend kufanya ngono na nimeanza nikiwa darasa la tatu na kuanzia darasa la tatu hadi la saba kila mwanamke aliyeanza kuwa mzuri darasani ilikuwa ni lazima nipite naye na nilikuwa na wivu mkubwa sana wa kimapenzi hadi leo kuanzia darasa la tatu imagine.

Sifa kubwa kwangu ni nilikuwa kila demu darasani akiteuliwa ama kiongozi wa darasa au cheo cha kishule lazima awe demu wangu. Hahaha darasa la nne nilikuwa na demu ambaye alijulikana kuwa ni demu wangu kwa wanafunzi wote shuleni na baadhi mitaani.

Nitakuja siku nieleze nikiwa darasa la saba kuna mwalimu mmoja mwanamke mdogo mdogo wale wa mafunzo ya vitendo aliwahi kunifanya nikawa hata silali vizuri. Nitakuja kuelezea.

Nitaendelea!
 
Kumbe ulikuwa primary 2000, oh kumbe ndiyo maana humuelewi JPM. Ni haki yako
 
Mama yangu pia nasikia enzi za ujana nae alikuwa ni balaa, dada zetu wawili wa kwanza wamekula sana fimbo. Hajawahi kumuumuza mtu ila hadi leo huwa anasikitika mwenyewe anasema wale wanangu wawili niliwatesa sana.
Mama yangu alikuwa mkali. lakini sio wa kupiga na kutoa jicho, na ukali wake ulitusaidia sana sasa hivi tunamshukuru

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yangu pia nasikia enzi za ujana nae alikuwa ni balaa, dada zetu wawili wa kwanza wamekula sana fimbo. Hajawahi kumuumuza mtu ila hadi leo huwa anasikitika mwenyewe anasema wale wanangu wawili niliwatesa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu alivyokuwa na miaka 4 nilimchapa sana, baada ya hapo nikajuta na kuumia hadi kupelekea kulia sana. Nikamuomba msamaha na tangu siku hiyo sijamchapa tena. Bahati nzuri hakumbuki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom