KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wana wa jf heshima iwe kwenu.
Nimeamua kuuleta uzi huu kwenu ili kutufumbua macho kutoka ktk biashara hii ninayoiita mimi ni ya kufikirika ya MALI WALIZOFICHA WAJERUMANI.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikiisikia habari hii pia biashara hii ambayo sina uthibitisho wa moja kwa moja kama kweli ipo na kuna mtu yeyote ambaye imekwisha mnufaisha zaidi ya baadhi ya ninaowafahamu biashara hii haikuwaacha salama.Angalizo biashara hii mimi binafsi siiamini pia siifahamu na siitamani ila ninapenda kusikia michango mbalimbali kutoka kwa wale walokwishakumbana na biashara hiyo na walikabiliana nayo vipi na walifaidika nini kutoka kwenye hiyo biashara.
Nawasilisha kwa mawazo ya kuelimisha.
Nimeamua kuuleta uzi huu kwenu ili kutufumbua macho kutoka ktk biashara hii ninayoiita mimi ni ya kufikirika ya MALI WALIZOFICHA WAJERUMANI.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikiisikia habari hii pia biashara hii ambayo sina uthibitisho wa moja kwa moja kama kweli ipo na kuna mtu yeyote ambaye imekwisha mnufaisha zaidi ya baadhi ya ninaowafahamu biashara hii haikuwaacha salama.Angalizo biashara hii mimi binafsi siiamini pia siifahamu na siitamani ila ninapenda kusikia michango mbalimbali kutoka kwa wale walokwishakumbana na biashara hiyo na walikabiliana nayo vipi na walifaidika nini kutoka kwenye hiyo biashara.
Nawasilisha kwa mawazo ya kuelimisha.